Nape Nnauye: Nilikatazwa Kwenda kuchunguza Uvamizi Clouds, niliambiwa nitafukuzwa kazi

Alienda kuomba msamaha ili kumzuga mchungi wa ng'ombe
 
Nyau huyu kwani hakufukuzwa? Ajabu anafikiri yuko sawa kwa hizo falsafa zake za uhuru hadi nchi imeingiliwa na ushoga na usagaji.
 
Mchungi na udikteta wake wote mbona hakuufuta ushoga? Au Mfufueni aje aufute
Nyau huyu kwani hakufukuzwa? Ajabu anafikiri yuko sawa kwa hizo falsafa zake za uhuru hadi nchi imeingiliwa na ushoga na usagaji.
 
Na Mungu huyo huyo ndio aliyeacha Lissu apigwe risasi kama asingetaka isingekuwa.
Lissu anaishi na ni mwenye furaha na matumaini makuu ya Tanzania mpya ijayo, mchungi funza walishajifaidia siku nyingi.
 
Nape alitaka aenda kuchunguza kwani yeye ni jeshi la polisi, sasa atakama angechunguza angempeleka Makonda Mahakamani.
 
Mungu huyo huyo ndie aliyemuokoa Nape asiuwawe.
Hakukuwa na shambulizi lililopangwa kwa ajiri ya kumuuwa Nape hadi useme kaokolewa na kifo, katishiwa bastola akaogopa basi.
 
Huyu nadhani ndiye waziri hopeless zaidi ambaye Tanzania tumewahi kuwa naye. Yani ukimfuatilia mpaka u ajiuliza hivi huo uwaziri watu huwa wanaupataje?
Maskini Tanzania yangu 😢😢
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…