Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Maggu=diktetahuyu jamaa kilaza sana!
hivi kwa nafasi aliyonayo ni wa kutueleza hayo? sisi yanatusaidia nini kwa leo hii? au anafikiri nafsi zetu haziumii kwa yeye kukumbatia makampuni ya simu?halafu huyu anafikiria katika mawazo yake anaweza kuwa waziri mkuu
Alijiua na covid?Vipi sisi mnaturuhusu kuchunguza kifo cha Rais wetu JPM?
Sio firbroioioioioionini nini tena sijui?Alijiua na covid?
Kamuulizeni gaidi mbowe anajua walipo. Kama kawachinja au kawaficha kisha kuisingizia serikali awaambie yeyeMkituletea Ben saanane azori gwanda na wengine walio potea kwenye mazingira ya kutatanisaha tuta waruhusu
Kwa wakati ule hata wewe usinge semaIkiwa na miaka sita ndio haisemwi?
Hapa natumia App haiwezi kupanda humu, weka email yako nitakuwekea huyo mzigo ukaone halafu uniambie alivamia na silaha wapiIlete hiyo video hapa
Kweli kabisa alifanya vzr anayetaka sifa mpe mambo yako yanyokeAlijishusha jambo litimie
Mbona hakuonge siku zote au ndo unafiki wa wana siasa
Mpuuzi, nini kinawazuia kuifufua kesi tena?Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.
“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”
Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.
"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"
Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.
"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"
Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
nape ni mjinga,tumbo kubwa na kichwani amejaza kamasi.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.
“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”
Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.
"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"
Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.
"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"
Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
elon musk kamzid akili mjinga yule.Ajibu maombi ya Starlink, aachane na marehemu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]98% ya wanasiasa ni madubwasha ya hovyo sana.
Ona hili jingine sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]NEPI CHIZI NAUYE
Pengine aliogopa kuwa displaced. Mambo yalikuwa nagumu mkuu au umesahau tayari?Nape mbona unataka ushujaa usio na msingi. Ulienda kuomba msamaha wa nini ikulu? Kama ulikuwa na misimamo si ungekaa zako Lindi ulime kama Ally Hapi then ndio uje utusimulie?
Nape fanya kazi uliyotumwa, hizo hadithi zako hazibadili chochote. Tasnia unayosimamia ina matatizo mengi na mengine ulishiriki kutengeneza ikiwemo sheria ya kukataza bunge live.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hapa natumia App haiwezi kupanda humu, weka email yako nitakuwekea huyo mzigo ukaone halafu uniambie alivamia na silaha wapi
Mweupe kawaida au mweupe peeeee?Huyu jamaa anajikutaga sana! Kiukweli ni mweupe sana kichwani.
Wengine wanasema corona, wengine wanasema wazuri hawafi hivyo imekuwa haielewiki.Si betri iliisha chaji
Kuna cha kuchunguza hapo?.