Nape Nnauye samehe na kusahau, mwache Hayati Magufuli apumzike

kwa nini hamtaki watu wajifunze kupitia utawala wa hovyo wa magufuli. mbona historia tunafundishwa kuhusu Nduli Iddi Amin Dada,Mkoloni nk.
 
Acheni kutetea upumbaf kwani jiwe alipokuwa anapumua alipowaambia atachapa shangazi za watu wa huko Mtama mliinua midomo kumkanya?
 
Kuendekeza visasi na visirani kwa mtu alietangulia mbele za haki, hakusaidii kituu. Kwani mtu kutolewa kwenye uwazirii ndo ukasirikeee hadi leo???
KUNASAIDIA KAMA SASA HANGAYA ANABAMBIKIA WATU KESI MNAONA SAWA TU AKIFA PIA MTASEMA AACHWE APUMZIKR ACHENI UNAFIKI KEMEENI MAMBO MABAYA
 
Kwakuua na kudhulumu watu kweli alikuwa jembe
 
Cha kumshauri tu dogo nape akae kimya, anavyopambana na marehemu ndo anvyozidi kujichimbia kaburi ft 12 chini.
 
Kwa hiyo kipindi cha magufuli bei ilishuka mpaka ngapi na sasa imeshindwa kupanda?
Je mnafikili wakulima wanahitaji bei ndogo ya mazao yao?

Wapeni.majibu nini kinatakiwa ili wauze kwa faida na sio kusingizia awamu iliyopita.

Najua hata kabla ya awamu ya tano bado wakulima wamekua wakilalamika kuhusu mazao yao na sio korosho tu hata kwenye pamba pia,

Nape awape majibu bei itapanda au la na nini shida?
 
Sasa awamu ya tano si imepita na sasa tupo awamu ya sita, wanashindwa nini kurekebisha huo mfumo ili hiyo bei ipande au jamaa anatawala mpaka akiwa kaburini. Yaani sasa hivi kila uharibifu unaofanywa kisingizio ni awamu ya 5. Tuacheni chuki na tukubali tunaposhindwa tusitafute mchawi.
 
Kwani sasa hivi magufuli ndo anaetawala??? Bei inaongelewa ya sasa, yeye anatoa sababu za utawala uliopita as if sasa hivi hakuna utawala.
 
Lile lijamaa lilikuwa la hovyo
 
Ingawa kaongea kwa chuki lakini kaongea hoja ya ukweli.

Angeongea kwa chuki halafu hoja za uongo hapo angekua amekosea.

Vipi kama angeongea sifa njema za Magufuli ingekua anamsumbua Marehemu huko aliko?
Hapa kaongea uongo. Hakuna ukweli wowote. Korosho kipindi cha Magu haikuwahi kushuka chini ya 3000
 
Wewe ulitaka Nape awaambie kitu gani watu wake wakati Magufuri ndiyo chanzo cha matatizo haya? Eti CCM! Sio CCM ni Magufuri kwa maamuzi yake ya ujinga. Wacha hao wahindi wafaidike sasa kwa ujinga wa maamuzi mabaya
 
Who is Nape in this country's politics?
Hakuna kipindi wakulima wa korosho walikuwa wanadekezwa kama awamu ya tano.
 
Mkuu umesema kweli hawa watu wanataka kutufanya sisi hatujui nini tango pori na lipi tango halisi ,ni kweli hata wakijaribu kuukepa ukweli bado tatizo lipo ccm kinachotwkiwa kea kuwa kule bungeni wapo pekee yao hakuna mpizani anayewaeumbua , hivyo waoneshe uzalendo wao tuwaone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…