Nape Nnauye samehe na kusahau, mwache Hayati Magufuli apumzike

Sio korosho tu!kule dodoma mbaazi ilishuka bei hadi waziri akasema Tule eti zina protein nyingi!!!Nape hajakosea!!Jpm ni janga!!
 
Mimba ya Magufuli itawatesa wengi na siyo Nape tu, wapo pia akina Lema na Lisu

Muulizeni kwenye huo mfumo anaouita mbovu Korosho ilikuwa bei gani na sasa mfumo ukiwa mzuri korosho ni shs ngapi?
Fools are fools never argue with them people will Neve rknow who is a fool.

Kabla ya magufuli kuwa rais korosho ilikuwa Bei gani? Na Sasa Nini kimewafanya washindwe kupandisha Bei ya korosho? Je Bei ya vitu vingine Kama fuel, gas na mahitaji mengine nchini yanayopanda Sasa kapandisha magufuli?
 
Mtoa mada ndio umemtaja magu ila Nape alisema "mfumo mbovu wa ununuzi wa korosho"
 
Ila JPM alitaka kufuta "madili" katika chama. Basi kwa mantiki hiyo wanaomchukia waliokuwa wapigaji madili.
 
Sio korosho tu!kule dodoma mbaazi ilishuka bei hadi waziri akasema Tule eti zina protein nyingi!!!Nape hajakosea!!Jpm ni janga!!
Daaaah!! Nimecheka sana kama mazuriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
HUYO NAE KAISHIWA SERA AJIANDAEE KUSHINDWA 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…