Miti ya asili ina chukua hata miaka 100 kukua. Tatizo nalo pata wasiwasi na hydroelectric ni ina tegemea mawingu. Kutegemea turbines zinazo endeshwa na maji ya mvua sidhani ni suluhisho, turbines zinaendeshwa na deep sea currents, umeme wa sola, gas na nuclearNape ni mpumbavuu sehemu ya miti iki replesiwa na maji inakuwa inatunza mazingira kuliko miti kwenye swala la mvua .....hivyo sehemu yenye miti mil100 ikiligeuza bwawa unakuwa ujaharibu mfumo wa mvua kuelekea ukame kwa sababu kinacho fanywa na miti kinafanywa na bwawa vizuri zaidi
900kHiyo miti iliinguza shillingi ngapi ilipouzwa?
Wapi mzeeMvua zinaanzia mbali.
Kwa asilimia ngapi ya miti na kwa ukubwa upi wa eneo la maji ? Hapo kuna hesabu ndugu sasa wewe umetumia hesabu gani ? Pia umeme wa maji unapunguza matumizi ya kuni ambayo ndiyo adui no 1 kwa kuharibu mazingira ,kuhusu nape ni mpumbavu kama nilivyo sema kwa sababu wakati wa kikwete mamilioni ya Tani za magogo yalikuwa yanakatwa na kutoroshwa na mafisadi atukumsikia akisema kitu ,pia hapa tz maeneo ya kupanda miti ni mengi sana kama tumekata miti mil 4 kwajili ya bwawa kwanini tusipande miti hata milioni 200 maeneo si yapo au maeneo yamekwisha ? Mlima kilimanjaro unaeneo kubwa limebaki kipara kwanini wasipande miti huko na kwingineko1) Mimi nampinga Nape kuhusu kukata miti hiyo na swala la Ukame mikoa ya Lindi na Mtwara - sababu yangu kubwa ni mvua za mikoa hiyo zina tengenezwa Baharini kusini hazitoki inland (bara). Mvua za mikoa ya Arusha, Mara na Kili, Tanga zina tokea Bahari (North of Dar) - mkoa wa Kagera unapata mvua zake kutoka Ziwa Victoria (Lakini siyo mkoa wa Mara japo kuwa yote in sehemu ya ziwa!)
2) Sasa kuhusu ni kipi kinacho peleka maji mengi angani kutengeneza mvua, kati ya bwawa na miti. Ni kweli, miti ina pump mvuke mwingi angani kuliko open water body. Sababu hasa ni evapotranspiration
Wakati open water body kuna gravity inapunguza vertical motion.
... alikoumba Mungu.Wapi mzee
kimoja tuHivi ccm ni vyama vingapi ?
Ikitaka maendeleo kata miti....View attachment 2020373
View attachment 2020376
Nimemuona Mhe. Nape akichangia hoja yake kwenye Bunge letu la Jamhuri ya Tanzania kuwa kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere kunahitajika kukatwa miti takriban 4.3.
Akazidi kuelezea kuwa eneo linalotakiwa kukatwa miti hiyo ni sawa na eneo lote la Dar es Salaam au eneo lote la Unguja. Akaendelea kueleza athari itakayotokana na ukataji wa miti hiyo ni upungufu mkubwa mvua katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Iringa n.k. na hivyo athari hii itawafanya wananchi wakose mvua kwa ajili ya shughuli zao za kilimo.
Mimi binafsi sijaamini maneno yake kama ni ya kweli LAKINI kama ni ya kweli lazima tuwalaumu sana Wabunge wetu tunaowapeleka Bungeni kwa kutosimamia yale tuliowatuma.
Kwanini awamu ya tano kila kitu kilikuwa ndiyoooo bila kutafakari hoja zinazoletwa mbele yao. Miti 4.3m inakatwa?. Wabunge mnashangilia?. Wananchi tuje tukose mvua ikichukuliwa kuwa mvua ndiyo maisha yetu? Hapana hapana.
Tunawaomba tunapowatuma Bungeni simamieni hoja za kuwasaidia wananchi na siyo kumridhisha mtu mmoja. Kwa usemi wa Mhe. Nape kuna shida kubwa sana huko mbele.
======
UPDATE:
View attachment 2020383
Ni kweli kabisaUkiamini hayo maneno utakuwa huna akili kichwani ,
si hawa hawa walimpuuza Prof Mwalyosi kwamba utafiti wake ulikuwa hauna tija leo hii wanaanza kujua madhala yake.walimdhalilisha mzee wa watu na kufrustrate mpaka leo hii wala hajulikani aliko.kwani kijana anachangamoto gani!
au umesahau kuwa vijana ndio wenye nguvu!😂😂😂
unadhani sababu inaweza kuwa ni ukataji wa miti ama nyinginezo?Kwa mara ya kwanza katika historia ya kuumbwa dunia, mkoa wa Iringa umekosa mvua msimu huu, 2021!
Mkoa wa Dar unalishwa na mkaa unaotoka mkoa wa Pwani na hali hii ni miaka na miaka imekuwepo.View attachment 2020373
View attachment 2020376
Nimemuona Mhe. Nape akichangia hoja yake kwenye Bunge letu la Jamhuri ya Tanzania kuwa kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere kunahitajika kukatwa miti takriban 4.3.
Akazidi kuelezea kuwa eneo linalotakiwa kukatwa miti hiyo ni sawa na eneo lote la Dar es Salaam au eneo lote la Unguja. Akaendelea kueleza athari itakayotokana na ukataji wa miti hiyo ni upungufu mkubwa mvua katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Iringa n.k. na hivyo athari hii itawafanya wananchi wakose mvua kwa ajili ya shughuli zao za kilimo.
Mimi binafsi sijaamini maneno yake kama ni ya kweli LAKINI kama ni ya kweli lazima tuwalaumu sana Wabunge wetu tunaowapeleka Bungeni kwa kutosimamia yale tuliowatuma.
Kwanini awamu ya tano kila kitu kilikuwa ndiyoooo bila kutafakari hoja zinazoletwa mbele yao. Miti 4.3m inakatwa?. Wabunge mnashangilia?. Wananchi tuje tukose mvua ikichukuliwa kuwa mvua ndiyo maisha yetu? Hapana hapana.
Tunawaomba tunapowatuma Bungeni simamieni hoja za kuwasaidia wananchi na siyo kumridhisha mtu mmoja. Kwa usemi wa Mhe. Nape kuna shida kubwa sana huko mbele.
======
UPDATE:
View attachment 2020383
Yani Tanzania tuna Vijana wa hovyo Sana, nape mwisho wake utakuwa wa hovyo Sana,time will tell.Hili ni JINGA tu halina kitu kichwani.
Mabadiliko ya hali ya Hewa inayoshuhudiwa sasa ni kutokana na Mataifa ya Magharibi kuwa na Viwanda vingi na kugoma kuchukua hatua za kupunguza athari zake kwa kuhofia kushuka kiuchumi.
Anatokea mpumbavu mmoja anasema eti Bwawa la Mwl Nyerere limesababisha kukatwa kwa miti mingi. Ujinga kabisa huu.
Kati ya vitu alivyifanya mwendazake, akiwa na akili timamu, ni hili la umeme wa Stiglaz.View attachment 2020373
View attachment 2020376
Nimemuona Mhe. Nape akichangia hoja yake kwenye Bunge letu la Jamhuri ya Tanzania kuwa kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere kunahitajika kukatwa miti takriban 4.3.
Akazidi kuelezea kuwa eneo linalotakiwa kukatwa miti hiyo ni sawa na eneo lote la Dar es Salaam au eneo lote la Unguja. Akaendelea kueleza athari itakayotokana na ukataji wa miti hiyo ni upungufu mkubwa mvua katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Iringa n.k. na hivyo athari hii itawafanya wananchi wakose mvua kwa ajili ya shughuli zao za kilimo.
Mimi binafsi sijaamini maneno yake kama ni ya kweli LAKINI kama ni ya kweli lazima tuwalaumu sana Wabunge wetu tunaowapeleka Bungeni kwa kutosimamia yale tuliowatuma.
Kwanini awamu ya tano kila kitu kilikuwa ndiyoooo bila kutafakari hoja zinazoletwa mbele yao. Miti 4.3m inakatwa?. Wabunge mnashangilia?. Wananchi tuje tukose mvua ikichukuliwa kuwa mvua ndiyo maisha yetu? Hapana hapana.
Tunawaomba tunapowatuma Bungeni simamieni hoja za kuwasaidia wananchi na siyo kumridhisha mtu mmoja. Kwa usemi wa Mhe. Nape kuna shida kubwa sana huko mbele.
======
UPDATE:
View attachment 2020383
Unaelewa maana ya volume na standing stem....View attachment 2020373
View attachment 2020376
Nimemuona Mhe. Nape akichangia hoja yake kwenye Bunge letu la Jamhuri ya Tanzania kuwa kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere kunahitajika kukatwa miti takriban 4.3.
Akazidi kuelezea kuwa eneo linalotakiwa kukatwa miti hiyo ni sawa na eneo lote la Dar es Salaam au eneo lote la Unguja. Akaendelea kueleza athari itakayotokana na ukataji wa miti hiyo ni upungufu mkubwa mvua katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Iringa n.k. na hivyo athari hii itawafanya wananchi wakose mvua kwa ajili ya shughuli zao za kilimo.
Mimi binafsi sijaamini maneno yake kama ni ya kweli LAKINI kama ni ya kweli lazima tuwalaumu sana Wabunge wetu tunaowapeleka Bungeni kwa kutosimamia yale tuliowatuma.
Kwanini awamu ya tano kila kitu kilikuwa ndiyoooo bila kutafakari hoja zinazoletwa mbele yao. Miti 4.3m inakatwa?. Wabunge mnashangilia?. Wananchi tuje tukose mvua ikichukuliwa kuwa mvua ndiyo maisha yetu? Hapana hapana.
Tunawaomba tunapowatuma Bungeni simamieni hoja za kuwasaidia wananchi na siyo kumridhisha mtu mmoja. Kwa usemi wa Mhe. Nape kuna shida kubwa sana huko mbele.
======
UPDATE:
View attachment 2020383
Nyumbu gang hawawezi kukuelewaUnaelewa maana ya volume na standing stem....
Miti iliyokatwa ni 2.658m na sio 3.495m, hii 3.495m ni ujazo wa miti yenyewe sema watu wanapotaka kufikisha ajenda zao ndo hutafuta namna ya kuongeza namba ttzo lionekane kubwa...
Mzee alishasema, ni afadhali ufanye ukosee kuliko kutokufanya kabisa... watz tuache woga maendeleo hayaji kwa kuogopa kufanya. Fanya ukiharibu ndo utajifunza kufanya kwa usahihi next time... kwa wajasiriamali wanasema risk it all...
Vijamaa huwa vilevi sana hivi...,na hawa ndio wabunge wenyewe wa sisiemu wakiwa bungeni kuchangia mijadala mbalimbali inayohusu wananchi wao majimboni.