Nape Nnauye: Tanzania kuwa na Satelaiti yake kama backup ya internet, Mkongo uliokatika kuchukua siku 7 zaidi kutengamaa

Wewe unadhani satelite au hizo fibre cable za Baharini ni kama taa za kuongoza barabarani,
Suala la satellite mbona ni la muda mrefu,ni vile tu hamfuatilii mambo ya maana,tutarusha satellite kupitia dit,mipango ya muda na nadhani imekaribia
 
Unaambiwa tangu juzi Nape alikua baharini anaangaika
 
Eti form four failure ndo anakuwa waziri wa teknologia hivi CCM wahisi China ipo pale kwa bahati?
Vipi Kuhusu form six division zero Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa akiongoza wasomi akina Tundu Lisu na akina Profesa Rwaitama hapo vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…