Ukishaharibu mfumo kwa jumla namna bora ya kutoka salama ni kutoongeza muda ili athari ya makosa yako akutane nayo mwenzie
Nyerere alipogundua kila kitu kinakufa akaona hakuna tena Mwanga kama hadi sabuni huwezi kupata mpaka ukimbizane na magari ya 'ugawaji' wiki nzima 'akang'atuka' akijua Gari linaenda halijojo,
Mzee Mwinyi akaingia na kufanya yasiyotegemewa, miaka ya mwanzo Nyerere akapiga Kimya akidhan mikakati ile isingefanikiwa…gari lilipochomolewa kwny tope likarudi kwny lami akaanza kelele zake z kusema Rushwa imetamalaki mara sijui Rais anashauriwa na Mkewe wakati maamuzi yote ya Nchi yanapitishwa kwny Cabinet na Minutes zilikuwepo
Athari ya kiuchumi na kikodi na lawama zake atabebeshwa Rais ajae kwa kuwa ndio ule ugumu na athari zitakuwa wazi mno