Nape: Wanaotaka serikali Mbili ndio wana akili Timamu

Nape: Wanaotaka serikali Mbili ndio wana akili Timamu

Huyu mtu ni vigumu kuamini kama anaubongo kichwani. Waliomwamini katika nafasi hiyo nyeti ndani ya chama nao watakuwa na matatizo makubwa ya akili.
 
...pepo lililo mvaa huyu bwanamdogo ni chotara wa pemba,sumbawanga,nigeria na haiti, sio bure...
 
408601_10152133163195405_1936671188_n.jpg
 
Nape ana kifafa cha fikra na ni kijana mdogo aliyelewa madaraka zaidi ya wale wazee waliokaa kwnye madaraka zaidi ya miaka 40
 
Source Uhuru 05/08/2013

Kauli tata za Nape Mnauye kama nilivyomnukuu katika gazeti la Uhuru kwa kauli za kejeli na matusi kwa kusema kuwa wanapenda serikali mbili ndio wenye akili timamu, kwa maana nyingine jaji Warioba na wananchi waliopendekeza ni mamburura.

Aliyasema hayo katika ukumbi wa BOT katika semina ya vijana wa CCM na akadai CCM inajiandaa kimkakati kuhakikisha serikali tatu inaondolewa katika katiba mpya. Na akahoji kama CHADEMA watasusia hawana faida kwani hata bajeti hawakuwepo na ikapita na hata kwenye katiba wasipo kuwepo wataipitisha



Hivi Nape mwenyewe mkimuangalia ana akili timamu yule?
 
Hamna Muungano wa serikali mbili. Hapa swala ni kama ni muungano IBAKI SERIKALI MOJA kama ni shirikisho serikali ni TATU.Watuonyeshe Tanganyika inafia wapi na watupe sababu za kuiua na kwanini ?mbona isiwe Tanganyika na Tanzania ?why Tanzania na Zanzibar ?Nchi kubwa inakufa inabaki kisiwa ambao wakazi wake wanakaribia kufikia wakazi wa mbagala ?

Labda kama wanatafuta vyeo kwenye urasimu wa serikali 2 maana kuna kubebana sawa kama ni kwa ustawi wa muungano ni serikali moja tu ama liwe shirikisho la serikali 3.

Unarudi lini Rwanda? hujasikia tangazo la JK?
 
Ngoja aje akanushe hapa na kudai kwamba wamemnukuu vibaya.!

Sasa hivi sina la kusema tena kuhusu huyo jamaa mkuu. Anahitaji maombezi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nape kama ni mzalendo atuambie wapi tanganyika yetu? Kwanini hatuna katiba ya tanganyika na kwanini ananga'nga'nia zanzibar ? Hii sio katiba ya ccm niyawatanzania, pia kila mtu anaupeo wa kufikiri na kila mmoja anahaki ya kutoa maoni sio kuwaambia hawana akili, yeye ndo hana akili
 
Nape sawa namboga ilipikwa hadi kukosa vitamini.kichwa kikubwa ubongo wa kuku huyo nape mnauye ngoja azike nyinyim yake
 
Huyu dogo kwa kweli hana urazini (hajitambui) ndiyo maana anashindwa kutambua uwepo na pia fikra za watu wengine. Au anadhani hii nchi ni mali ya CCM? Chunga sana kauli zako dogo zitakuponza.
 
Hamna Muungano wa serikali mbili. Hapa swala ni kama ni muungano IBAKI SERIKALI MOJA kama ni shirikisho serikali ni TATU.Watuonyeshe Tanganyika inafia wapi na watupe sababu za kuiua na kwanini ?mbona isiwe Tanganyika na Tanzania ?why Tanzania na Zanzibar ?Nchi kubwa inakufa inabaki kisiwa ambao wakazi wake wanakaribia kufikia wakazi wa mbagala ?

Labda kama wanatafuta vyeo kwenye urasimu wa serikali 2 maana kuna kubebana sawa kama ni kwa ustawi wa muungano ni serikali moja tu ama liwe shirikisho la serikali 3.
watanga tanaga na msitu si mlituona mapimbi sisi wazanzibari.. sasa mnayaona na kuyajadili... ndo maana sisi tulibakia na nyinyi mkajitia kitanzi licha ya udogo wetu wa ardhibali sisi tupo na ukubwa wa maarifa na kufikiri. tulianzisha sisi mchakato mkatuona wachizi saa nani yupo nao kwenye majukwaa kila kona ya nyika huu mchakato wa muungano?.. yeahhhhh tutaendelea kuwaongoza ipo day mtafaham.. zenj kwanza starrr....
 
sifa na kigezo namba moja kuwa ccm lazima uwe hamnazo msimshangae anatimiza wajibu wa cheo chake propaganda na kuropoka


Huyu mtu ni vigumu kuamini kama anaubongo kichwani. Waliomwamini katika nafasi hiyo nyeti ndani ya chama nao watakuwa na matatizo makubwa ya akili.
 
Nape, sijui asiye na akili timamu ni nani. KWani katiba ya nchi ni mali ya CCM?> au CCM ni chama cha siasa kinacho takiwa kuduata katiba ya nchi. Hizi kejeli zenu ndio zilizo iuwa CCM zanzibar. Leo CCM hawana hata 10% ya wafuasi z'bar ila wanaiba kura za wananchi tu.
 
sasa kama mtu aweza linganisha bajeti na katiba kweli inashangaza. Nahata hvyo asijisifu kwa bajeti waliopitisha kwa ndiyoooooo bilahata kuichambua kwa umakini kwani swala la line za cm lime fireback....
 
Huyo Nape mwenyewe ndio ana matatizo kama kweli kasema. Yaani Tume imejaa wazee (Tukiamini aliyekula chumvi nyingi ana hekima na busara zaidi kuliko...) ambao ni wasomi tena sio usomi wa kubabaisha tena wamezunguka nchi nzima (Tanganyika na Zanzibar) kupata maoni ya wananchi, halafu yeye anasema hawana akili? Tume imetuambia walichotuletea ni maoni ya wananchi sasa iweje wawe hawana akili? Muungano siku zote wa nchi mbili hauwezi kuleta serikali tatu. Angalia marekani ni muungano wa nchi nyingi, zote zipo na ya Muungano ipo. Kwa nini wanataka serikali mbili? Mi naona huo muungano ufutwe kwa vile wazanzibar hawautaki. Tusiwang'ang'anie.
Source Uhuru 05/08/2013

Kauli tata za Nape Mnauye kama nilivyomnukuu katika gazeti la Uhuru kwa kauli za kejeli na matusi kwa kusema kuwa wanapenda serikali mbili ndio wenye akili timamu, kwa maana nyingine jaji Warioba na wananchi waliopendekeza ni mamburura.

Aliyasema hayo katika ukumbi wa BOT katika semina ya vijana wa CCM na akadai CCM inajiandaa kimkakati kuhakikisha serikali tatu inaondolewa katika katiba mpya. Na akahoji kama CHADEMA watasusia hawana faida kwani hata bajeti hawakuwepo na ikapita na hata kwenye katiba wasipo kuwepo wataipitisha
 
nape yuko sahihi,hutaki alilosema hiyo ni juu yako,kuweni wastaarabu acheni kutoa lugha za kashfa,hamtaki mawazo ya nape fuateni huko mnakotaka,ccm ni mbili,chadema ni tatu,ukristu na ugaidi,cuf ni tatu,uislam na uarabu,nccr ni moja.sera zao wote zina tija kwao.
 
Back
Top Bottom