Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

Kuna mtu alietengeneza app yake akawaalika viongozi wakagoma kwenda? Toa mfano. Nijuavyo hii ya wema Ni hatua kubwa sana MBELE KWANI SASA DUNIA NZIMA WANAWEZA KUZINUNUA KAZI ZA WEMA NA TAIFA LITAPATA KODI NA MAISHA KUSONGA MBELE.
Aisee wewe hatari, dhahabu na Almasi hazijaleta kipato ije application ya Wema. Dunia nzima wanamjuwa wema ahhhhhh. Nchi hii inatia huruma kweli.
 
Waziri anaacha BUNGE sbb ya Wema Sepetu apps... Mungu uko wapi..? Umetuacha pekee yetu bwana, umetusahau duniani, tu yatima, hatuoni, eeh Mungu hadi lini utarudi..? Ungekuwepo haya yote yasingetokea, uuuhh..!!
 
Hao ndio fisiem walijua namba tutaisoma sisi raia tu. Wao walio karbu n jiko hawataguswa. Eeeeh
Mbele kwa mbele fisiem fisiem
 
Nape nae asitake kutuzingua,aache mapenzi na ulafiki ktk sakata hili,pia anatakiwa ajue kua huyu sio laisi wa malafiki na washikaji huyubyupo kikazi zaidi ndiomaana kachagua watu wa kazi ili afanyenao kazi na sio vinginevyo,,,,ukimchekea nyani utavuna mabua hakuna cha Wema wala lafikiake Wema kama anausika Shelia ifuate mkondowake sasa kama na yeye alikua mwema angethamini taifanlake na kujalibwaTz wenzie.
 
Waziri anaacha BUNGE sbb ya Wema Sepetu apps... Mungu uko wapi..? Umetuacha pekee yetu bwana, umetusahau duniani, tu yatima, hatuoni, eeh Mungu hadi lini utarudi..? Ungekuwepo haya yote yasingetokea, uuuhh..!!

Sikuwa nimeiona hii thread wala kusikia hii app! haya maajabu! mawaziri wetu ndio walivyo hawajui majukumu yao na hawana viapaumbele.
 
Sikuwa nimeiona hii thread wala kusikia hii app! haya maajabu! mawaziri wetu ndio walivyo hawajui majukumu yao na hawana viapaumbele.
Ndugu yangu, ni waziri huyu huyu ambaye ana madaraka ya kuweza kuamka asubuhi bila kushauriana na yeyote akakifunga kituo cha redio au gazeti kwa muda anaotaka yeye hata kama kimeajiri watu elfu na kinalipa kodi vizuri!
 
Mkuu; mi Nilidhani application ya "dawasco"au "tanesco",warahisishe huduma zao...kumbe "Wema pepetu" bhana
 
Ndio maana jamaa ame questions kuhusu kukamatwa kwa Wema na Madawa ya Kulevya Kumbe CCM. Haju safari hii wote tunaisoma namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…