Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuna wakati huwa nawaonea huruma sana vijana wa ukawa mnavyozungushwa kama antena!alafu Nape Nnauye ndiyo kichwa kinachotegemewa CCM.
Replying on myself ...kuna haja ya kuwascreen hawa 'mamluki' labla ya kuwapa makazi!Ndugu yangu, ni waziri huyu huyu ambaye ana madaraka ya kuweza kuamka asubuhi bila kushauriana na yeyote akakifunga kituo cha redio au gazeti kwa muda anaotaka yeye hata kama kimeajiri watu elfu na kinalipa kodi vizuri!
Kudadeki, makonda hawamuwezi manina zaoNape ameundondosha uwaziri kisa kumpigania Wema dhidi ya madawa ya kulevya.