Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

Mfumo wa kisasa kabisa??? U must be joking
 
Nyota inang'aa sana huyo Dada.wenye wivu mtapata shida sana
 
Inabidi huyu waziri aende Kenya aone vijana wanavyo develop app zenye kuleta faida kwenye jamii si huu ujinga.
 
Mi naona wema mwenyewe Kafanya juhudi binafsi za kuandaa hilo tukio na pia katumia ubunifu kumualika waziri.Hao vijana unaosema je wameshafanya hivyo na waziri akakataa kuhudhuria huo uzinduzi?
Watu wanaodevelop app za maana hawaitaji hizo show za kijinga they know what they are doing.
 
Ubunifu gani?? Kuuza sura tu.
 
Hii nchi ina vituko sana.

Waziri anakataa kuhudhuria VIKAO VYA BUNGE, anaenda KUHUDHURIA halfa ya WEMA SEPETU kuzindua application yake ya kupost ishu zake za UDAKU kwa mashabiki wake.

Halafu anatoa PUBLIC ANNOUNCEMENT, eti nimeahirisha kuhudhuria kikao BUNGENI ili nije KUZINDUA application yenu.

MAGUFULI kweli UNA KAZI mwaka huu.
 
Swali la kujiuliza...ni eneo lipi nikikaa nitajulikana na kuonekana?
 
PHD hebu tabiri basi kuhusu huyu mbunge wa mtama anaondolewa lini mjengoni ? Au Kama Vipi namimi ngoja nijaribu....atafuta huyu kuwa evicted maana hajui asemalo wala atendalo uelekeo wake kuwa out Ni mkubwa Sana
 
Mtabaki kusema sijui Kenya sijui huku ulaya aah wapi mwenzenu keshatusua anabaki kua expensive wkt nyie hata mtaa hamjulikani shame on you
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi unaweza ukajuta kuwa MTanzania mana duh
 
Huyu waziri anaweza kutumbuliwa kwa mambo kama haya anaacha Bunge anakuja kuzindua mambo binafsi ya Mtu? Magu atavifungia vitu kama hivi soon... Watanzania tunataka maendeleo na sio kuchezea simu kusoma Wema amefanya nini leo kesho blah blah tele... Siamini kama waziri amechagua wema badala ya kikao cha Bunge...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…