Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ni sawa mtu akisikia umeoa wale wanaokusaodia kuzipata hela afu unaziachia waoHawa mabinti wa kagera kwann watu wa mikoa mingine hawawakubali hususani kwenye swala la ndoa Yan wakisikia unaoa muhaya lazima washtuke kdgo Kuna tatzo gan uko kagera??
😂😂😂😂😂naona unapiga ramli
mimi sio dada ndugu yangu
kama una hoja weka hapa tuione,sio unagawa jinsia zisizo za watu
Ila siku hizi umebadilika mkuu,umekuwa mstaarabu sana huporomoshi matusikaamua tu...
kajikalia mezani kwake anabonyeza laptop yake akaona ngoja nigawe jinsia leo
this nigga is legendary!
Tatizo mtoto wa Mama kwa staili hiyo kutoboa ni ngumuNimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Umekuwa smart sana aisee!nilikua sijui my dear
kumbe nime advance eee?
I thank myself for being this smart....nitaweza ku-maintain sasa?
Hapo changamoto kwakweli maana....
Misenyi bunaziiii utaweza mdogo wangu wanawake wa hapo..??Nimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Japo Shemeji zangu inaonekana Mashauzi Sana. Napewa yote
View attachment 2062648
Kwan mleta mada amekwambia kwao ni wapi? pengine ni Kagera hukohuko au hata kijiji kilekile anakopeleka mahari.nikupanikie unanilipa?
im just appalled na your stupidity,basi!
Nikupanikie una la maana kichwani basi au mavi tu?
relax,bado umechanganyikiwa na "mahari" as if umewatendea mema sana wanawake wa kwenu waliokuzaa na kukutunza still umeona hawakufai
upo hapa unatoa mimacho as if umefanya a very crucial decision in the world no one has ever done!
Yaani u are a hero vile for this stupidity!
Kuna wanawake wazuri kimaumbile,tabia na wife materials!Uwahi fasta!Tumechoka unavyojipikia kabeji yenye supu!Nimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Japo Shemeji zangu inaonekana Mashauzi Sana. Napewa yote
View attachment 2062648
Mkuu umeongea bonge la point, sikutegemea kama ungeupiga mwingi katika hili. "Badala uoe kwenu..."badala uoe kwenu uwape wanawake wa kwenu motisha unaenda saidia kwa wasiokujua achilia mbali kukuhitaji?
akili au matope haya?
na usiniletee blah blah za "nimependa" nonsense
Pole Sana George Barran Mabinti wenye tabia mbovu wapo kila mahali hata kwa Wabena.Nimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
sawa mkuu ila zingatia vitu km iviNimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Japo Shemeji zangu inaonekana Mashauzi Sana. Napewa yote
View attachment 2062648
Waitu shumaaramu empango!Karibu Sana Misenyi bwana Shemeji.
Wana nini?Misenyi bunaziiii utaweza mdogo wangu wanawake wa hapo..??