Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Iwe tinkumanya [emoji16][emoji16]Hahaha mukodomi gwo abade tamanyile! Nze njagala katerero nyo nyo nyoooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe tinkumanya [emoji16][emoji16]Hahaha mukodomi gwo abade tamanyile! Nze njagala katerero nyo nyo nyoooo!
Hahaha inye ni mukodomi gwo! Mushaija wange niwanyu!Iwe tinkumanya [emoji16][emoji16]
Dah!!Hahaha inye ni mukodomi gwo! Mushaija wange niwanyu!
Wabaki si???Dah!!
Doh pole sana. Mi nashukuru Mungu wangu hana zile mambo na tabia zakihaya kabisa kama mzungu vile mpaka najisemea nhiii! Huyu muhaya wawapi doh!Ninezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto
TindabakanziWabaki si???
Sema Huna hela
Hela zipi unazosema wewe unayajua maisha yangu
Maelezo yako tu yanaonekana umejaa uchungu na ghilba
😂😂😂....mmoja kachoka, mwingine ndio kwanzaaa kaanza.Wew nenda kaoe mkuu ila ucje kuleta Uzi wa ulalamishi baada ya mda mfupi
😘😘😘😘😘😘😘Uwe unanionea huruma kidogo doh! Kazi kaazii Mwanzo mwisho mhm! Nahiyo color yako inanipa stimu balaaa!
Unaonekana una chuki binafc na haiwez kukusaidia kama mwanaumeWew nenda kaoe mkuu ila ucje kuleta Uzi wa ulalamishi baada ya mda mfupi
I feel it babe welcome anyday anytime💋💋💋💋💋. ( Deep one)😘😘😘😘😘😘😘
Tafuta pesa timiza majukumu yako uone kama heshima haikujiNimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Nasimamia majukumu yngu ipasavyoTafuta pesa timiza majukumu yako uone kama heshima haikuji
Chuki binafs Tena imetokea wapUnaonekana una chuki binafc na haiwez kukusaidia kama mwanaume
Muache aanze[emoji23][emoji23][emoji23]....mmoja kachoka, mwingine ndio kwanzaaa kaanza.
Kuna watu hawataki kuelewa mkuu, ukieleza hizo changamoto za hao watu wanakwambia tafuta pesaNinezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto
[emoji16][emoji16] tuliogonga mwamba huko tunawaambia ila jamaa wabishi sana.Sasa sisi kama mabahari tuliokiona cha moto kutoka kwa madada wa huko uhayani tunasema,"Mtoto akililia nyembe mpe".𝐊𝐚𝐠𝐞𝐫𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐊𝐚𝐠𝐞𝐫𝐚, 𝐦𝐦𝐦𝐦𝐡, 𝐧𝐢 𝐬𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐮𝐛𝐢𝐫𝐢 𝐦𝐝𝐚 𝐮𝐨𝐧𝐠𝐞𝐞 𝐢𝐥𝐚 𝐡𝐢𝐳𝐨 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐧𝐢𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐮𝐧𝐠𝐞𝐳𝐢𝐰𝐞𝐤𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐤𝐢𝐥𝐢𝐦𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐭𝐢𝐤𝐢𝐭𝐢 𝐡𝐮𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐝𝐚 𝐮𝐧𝐠𝐞𝐯𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐦𝐢𝐥𝐢𝐨𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐰𝐚 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐮𝐬𝐮𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐭𝐮
Kausha kila mtu apambane na hali yake[emoji16][emoji16] tuliogonga mwamba huko tunawaambia ila jamaa wabishi sana.Sasa sisi kama mabahari tuliokiona cha moto kutoka kwa madada wa huko uhayani tunasema,"Mtoto akililia nyembe mpe".