Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uoni tu hilo ndeno MUHAYA ukibadilisha herufi mbili tu unapata neno baya?Hawa mabinti wa kagera kwann watu wa mikoa mingine hawawakubali hususani kwenye swala la ndoa Yan wakisikia unaoa muhaya lazima washtuke kdgo Kuna tatzo gan uko kagera??
Unapata Neno Ganiuoni tu hilo ndeno MUHAYA ukibadilisha herufi mbili tu unapata neno baya?
Jinsi sio jinsia mkuuKwa maneno yako tu nimefahamu jinsia yako. Pole
We liangalie tu vzur utaelewaUnapata Neno Gani
MUHAYAWe liangalie tu vzur utaelewa
Toa U weka A na H weka LMUHAYA
Muha
Haya
Hamu
Vp Hapo
Tufafanulie tuelewe.Sio kweli Mzee. Wanawake wa kihaya wanaolewa na makabila mengine tofauti na wahaya wenzao. Kiufupi ni ngumu mwanaume mhaya ambaye ameshasafiri huko na huko kurudi kumuoa mhaya mwenzie.
new Missenyi city
We si ushaoa auNimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Japo Shemeji zangu inaonekana Mashauzi Sana. Napewa yote
Waambie wakwe waboreshe stand Yao ya mabasi iwe kama Dubai.. [emoji23][emoji23][emoji23]Nimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Japo Shemeji zangu inaonekana Mashauzi Sana. Napewa yote
Ishu sio muhaya makabila yote changamoto kwa kweliNimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
😂😂😂😂😂😂Ninezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto