Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuone picha ya 'ekisusi, ekilele'Mahari imepokelewa Jana. Leo Ni vyombo mwanzo-mwisho. Ila Wahaya wakatimi sana
Mbona Machame husemi?Hawa mabinti wa kagera kwann watu wa mikoa mingine hawawakubali hususani kwenye swala la ndoa Yan wakisikia unaoa muhaya lazima washtuke kdgo Kuna tatzo gan uko kagera??
Sasa hapo nani Hana heshima? Wewe au yeye? Jichunguze Hadi unazaa na mtu Hana heshima ni dhahiri wewe ni zaidiNimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Mbona povu na ww muhaya?Sasa hapo nani Hana heshima? Wewe au yeye? Jichunguze Hadi unazaa na mtu Hana heshima ni dhahiri wewe ni zaidi
Dada zenu ni wa ovyo acha tusemeSasa hapo nani Hana heshima? Wewe au yeye? Jichunguze Hadi unazaa na mtu Hana heshima ni dhahiri wewe ni zaidi
Sijasema ana nidharau mkuuTafuta pesa timiza majukumu yako uone kama heshima haikuji
kyonka iwe......[emoji39][emoji39]Yaniii nishakumiss hapa!! Upole wako huo wote unahamia kuleee wooooooiiiii! Hakuna kuomba poooh hahah!! Wabarikiwe sana walioanzisha kupigapiga ile kitu[emoji2960][emoji2960][emoji12]!
Mazimaa!!🤣kyonka iwe......[emoji39][emoji39]
Lekelela ahaa iwe mwisiki. Nokola katutambuka ebintu byemeleile nibichwa obuchwanta.Yaniii nishakumiss hapa!! Upole wako huo wote unahamia kuleee wooooooiiiii! Hakuna kuomba poooh hahah!! Wabarikiwe sana walioanzisha kupigapiga ile kitu[emoji2960][emoji2960][emoji12]!
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Lekelela ahaa iwe mwisiki. Nokola katutambuka ebintu byemeleile nibichwa obuchwanta.
File[emoji3480][emoji44][emoji44]Hongera mkuu. Kama huyo demu wako jina lake linaanzia na A, anafanya kazi Dom na ana mtoto file lake ninalo, hongera.