Napeleka Mahari Missenyi, Kagera!

Napeleka Mahari Missenyi, Kagera!

Katerero on fleek..

Mwendo wa kuyatoa tu maji..shwaaa shwaaaa shwaaaaa
Waauweeeeehhhhhhhh! Lee bosi wangu nakusalimia sana sanaaa bosiiii[emoji1732][emoji1732]!! Nimekamatika mimi katerero imenichanganya mwenzenuuuu [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji12][emoji12]
 
Waauweeeeehhhhhhhh! Lee bosi wangu nakusalimia sana sanaaa[emoji1732][emoji1732]!! Nimekamatika mimi katerero imenichanganya mwenzenuuuu [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji12][emoji12]
Taratibuuuuu bhasiiiiuu
 
Taratibuuuuu bhasiiiiuu
Weeeeeee hio taratibu vipi!! Hapana chezea cha che chiiiiiiiiii weuwee!! Ntachomoka kweli mimii[emoji134][emoji134][emoji134] nionee huruma basii!!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Waauweeeeehhhhhhhh! Lee bosi wangu nakusalimia sana sanaaa bosiiii[emoji1732][emoji1732]!! Nimekamatika mimi katerero imenichanganya mwenzenuuuu [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji12][emoji12]
Kumbe na wewe wanakupelekaga misenyi??..

Yatoe tu mama..
 
Kumbe na wewe wanakupelekaga misenyi??..

Yatoe tu mama..
Acha tu ndugu mimi sio missenyi mimi napita missenyi wananipeleka mutukula border!! Missenyi to mutukula buku tu Hahaha..Hakika Nimekamatika mimiii maji nilikua nayasikia tu hahaha Lee bosi shikamoo 😜😜
 
Hahahaaa Namuheshimu sana Lee Acha tu yanii he's the reason for my smile huyu mwanaume my bosi my everything kwakweli abarikiwe sana sanaaa hanaga makuu kabisa my bosii. Asante na kwako pia Darmian ! Bila shaka una experience ya ahaaaa shaaaaaa shaaaaaaaa! Yamotooo!


Kumbe mzee baba Lee ndo anasimamia hiyo shughuli ya wewe kufika salama Mutukula??..Sawa bhana..Happy new year.
 
Ila siku hizi umebadilika mkuu,umekuwa mstaarabu sana huporomoshi matusi
Juzi kati nilimwambia kuna uzi kwamba amekuwa mstaarabu nadhani ni mabadaliko mazuri.

Ingekuwa zamani angeshashusha mvua ya matusi😂😂😂
 
Afadhali kuliko mwaka ungeisha:hujaoa/hujaolewa, Umekataa kuchanja ,Huna hela ,Msikitini/kanisani huendi, barakoa hutaki kuvaa,, kwani unatakaje??😅😅😅
 
Juzi kati nilimwambia kuna uzi kwamba amekuwa mstaarabu nadhani ni mabadaliko mazuri.

Ingekuwa zamani angeshashusha mvua ya matusi[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa amestaarabika mno yaani.
Ile jazba imeisha,,,anajitahidi siku hizi kwa kiasi chake kuwa na busara.
 
Weeeeeee hio taratibu vipi!! Hapana chezea cha che chiiiiiiiiii weuwee!! Ntachomoka kweli mimii[emoji134][emoji134][emoji134] nionee huruma basii!!
Kufa hukufiiiiiii ila rahaaaa zitakunyooshaa
 
Acha tu ndugu mimi sio missenyi mimi napita missenyi wananipeleka mutukula border!! Missenyi to mutukula buku tu Hahaha..Hakika Nimekamatika mimiii maji nilikua nayasikia tu hahaha Lee bosi shikamoo 😜😜
😋😋😋😋😋😋😋😋😋 muhimu tusisahau gonjaaa
 
Yaniii nishakumiss hapa!! Upole wako huo wote unahamia kuleee wooooooiiiii! Hakuna kuomba poooh hahah!! Wabarikiwe sana walioanzisha kupigapiga ile kitu🤭🤭😜!
Hahahahaaahaaha kama nakuonaaaaa unavotaka kuninyongaa
 
Hahahahaaahaaha kama nakuonaaaaa unavotaka kuninyongaa
Uwe unanionea huruma kidogo doh! Kazi kaazii Mwanzo mwisho mhm! Nahiyo color yako inanipa stimu balaaa!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Ninezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto
 
😋😋😋😋😋😋😋😋😋 muhimu tusisahau gonjaaa
Hahahahahah! Naziandaa mwenyeweeeee nishakua mzoefu saizi gonja munyige matoke mpaka kuvuta najuaaa!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom