Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu iweje nitoe 2m nilishwe Makande na Azam Cola?. Nataka maelezo ya kutosha vinginevyo huyu binti Yao atashuhudia Vumbi tu
Yaani 2mil kwasababu ya mbunye tu.Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.
Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.
UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting
View attachment 1588961
Vp Ndoa Isha jibu tayari!? Mate Kesha aanza kutema,au bado unarembaremba kwanza!?Ndoa tamu
HongeraNawashukuru wadau wote. Ndoa tamu jamani
Mtaachana tu.Nawashukuru wadau wote. Ndoa tamu jamani.
Wabinafsii mnooWaliooa/olewa upareni Moto wanauona. Umalaya, ubinafsi/ubahiri in short
uswahili.
Safi sana Bw shemeji!!umepata mke!dada zangu wa kipare hawana shida!tunasema "tehena mburi avae"Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.
Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.
UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting
View attachment 1588961
Hivi kuna tofauti gani kati ya wapare na wagweno? Nilishawahi kua na mgweno, ni mzuri kinoma, mpole, mtu wa ibada halafu alikua ana mapenzi ya dhati sijawahi kuambiwa wala kuhisi anachepuka?Wanawake wa kipare wamepewa sura murua, wazungu wanasema "easy on the eyes"
Ila buana miguu kama chelewa
Halaf wana roho mbaya na ubinafsi mwingi
Taqo analo?Hivi kuna tofauti gani kati ya wapare na wagweno?
Nilishawahi kua na mgweno, ni mzuri kinoma, mpole, mtu wa ibada halafu alikua ana mapenzi ya dhati sijawahi kuambiwa wala kuhisi anachepuka?