princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
- Thread starter
- #21
Temana nae uyo ree haelewi,,hii ni lugha ya kaskazini bablai..ww ndo hauelewa arfuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Temana nae uyo ree haelewi,,hii ni lugha ya kaskazini bablai..ww ndo hauelewa arfuu
Mambo ni mengi.muda ni mchache..najionea taabu mwenyewe.
Kunduchi beach.Mokomoko ariffu muhuni
Shenzi kabisa nyote wavuta bangi kamalize bangi zako uje uandike upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Dingii mbona unalocha sasa!?tatizo ni mwandiko au lugha ndo huimanyi asee?!sasa ntaelewaje limwandiko lipo hivo
Ukiangalia you might find the guy is under 25, still at home with parents, can't make even 10k a day, smoking weeds to him is a big deal and he has no fuc.king future.Nacheka kama yanachekesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aikatai aikatox ariff,Nishadownload Ma'contact kilichobaki ni kuvuta ng'ora tu nimchukue maelezo kwa fas duas chaliloo.kisanga ka ya ela ote iviii baada ya kumsorora na manamba ya tin'gilin'gilii ikawa'aje?
asee areef ukimkosa uyo mamiloo ni dhambi kilo10 bablay
Sinoo ubao budah,nishapiga machapalala shazi yakushato apa kati aisee!!ainomeki chaliangu.asee dingilai kwanza kapate mashingibee coz inaonekana uko ubao.
Mkuu hii hata sio ya malikia ila hata alien wanatoka kapa kulingana na uwezo wao
Kwa kweliYajayo yanafurahisha.
Lembeli karudi CCMHabarini zenu wakuu,hopeful mko vizuri,,Naam nimekua na tabia ya kuwaelewa kinyama ma'manzi ambao ni ma gangstar,wahuni,,Leo On ma way road to Sinoni daraja bee fas ya chuganian kwa chalii angu mmoko ambae sijamuona siku mingi joh tangia enzi za oldskul pale Arusha sec.picha linaanza kipande icho inao mamiloo ziko mingi laana,zinaji-download,zinaji-format tu zenyewe ila zinapenda para la moto laana,ila izi soft sinaga njaro nazo,napendaga zile gangstar,,so zinahitaji mauzimbambe yakushato ya ela ote dingide,,Nikiwa nasololoa mokomoko by ngoko road nakutana na mamiloo iyo imevaa pensi imevuka magoti,kichwani ina busholi na vest flani ivi oversize imeandikwa Arusha girl apo kifuani,,nikasema yeahp!Mungu anipe nini gunia la chawa nijikune ucku kucha!?Nikampiga stop kisha nikamuomba izo ma'contact apo fiade,akanipa uku chaliako nikiwa na ujasiri utafikiri nna bangaloo mfukoni kumbe walaaa!!Kisha nikapita ivi,,Kiukweli nimemwelewa sana uyu mamsi kutokana na uhuni wake,Sio huyu tu kuna mamanzi shazi ambao nishawapenda kutokana na uhuni wao,,yaani nikiona mamiloo ana smoke weed(kush)anavaa kaptula,vest,Mabusholi,ana mitatoo ndo naona mambo ni ente yaani full kinyulaa ariff,,asa najiuliza nna tatizo gani wakuu??Mnaruhusiwa kunishauri pia huenda nimerogwa ingawa sio kirahisi na kindezi design iyo asee..!!
@ChaliiYaKijengeJuu.