GreenMkulima Initiative
Member
- Nov 13, 2018
- 20
- 5
Habari wakuu.
Katika harakati za kupata maarifa mapya mtandaoni nilikutana na hawa mbuzi (picha chini) maelezo niliyosoma kuwahusu ni kuwa;
hawa ni mbizi wa nyama wanao uwezo mkubwa wa kupata uzito hadi kufikia kg 150 kwa dume. Pia jike lake hufika hadi kg 120 na huzaa mapacha.
Maelezo yanasema kuwa hawa mbuzi licha ya kuwa na miili mikubwa na pembe ni wapole. Na ni mbuzi wanaofaa sana kwa ufigaji wa mbuzi wa nyama.
Kwa bahati mbaya niliposoma habari ya kuwahusu mbuzi hawa hapakuwa na taarifa nilizoitaji kuzifahamu kuwahusu, sasa naleta kwenu wandugu kwa anayewafahamu anijuze haya yafuatayo:-
1. Wanapatikana wapi kwa hapa Tz
2. Wanachukua muda gani kuwakuza
3. Gharama za matunzo yao kwa wastani wa mbuzi 3. (Dume 1, jike 2)
4. Changamoto na ufugaji wake kwa jumla
Nimeambatanisha na picha zao
Natanguliza shukrani wakuu.
Katika harakati za kupata maarifa mapya mtandaoni nilikutana na hawa mbuzi (picha chini) maelezo niliyosoma kuwahusu ni kuwa;
hawa ni mbizi wa nyama wanao uwezo mkubwa wa kupata uzito hadi kufikia kg 150 kwa dume. Pia jike lake hufika hadi kg 120 na huzaa mapacha.
Maelezo yanasema kuwa hawa mbuzi licha ya kuwa na miili mikubwa na pembe ni wapole. Na ni mbuzi wanaofaa sana kwa ufigaji wa mbuzi wa nyama.
Kwa bahati mbaya niliposoma habari ya kuwahusu mbuzi hawa hapakuwa na taarifa nilizoitaji kuzifahamu kuwahusu, sasa naleta kwenu wandugu kwa anayewafahamu anijuze haya yafuatayo:-
1. Wanapatikana wapi kwa hapa Tz
2. Wanachukua muda gani kuwakuza
3. Gharama za matunzo yao kwa wastani wa mbuzi 3. (Dume 1, jike 2)
4. Changamoto na ufugaji wake kwa jumla
Nimeambatanisha na picha zao
Natanguliza shukrani wakuu.