donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Mkuu umeua mbayahana utaalam wowote alikuwj steji show tu wa muumin mwinjuma,aliwahi kuimba kidogo ila anajifanya mc kwenye shughuli za kiswahili maarufu kama mc wa kizaramo,anamgwaya sana bosi wake deo rweyunga!ila nenda riverside utamkuta
Ila jamaa anachambua vizuri sana Muziki wa Dance na anaufahamu, nimeanza kumsikia kupitia RFA kila Alhamis( enzi hizo) kabla hajaanza kuchambua muziki Radio One kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 4Asubuhi-7 Mchana kwenye kipindi cha hizi nazo, pia kuanzia j3-Alhamis saa 4 usiku Radio One.Wote mnatoa tu maneno Hamjibu hoja wakuu.Zomboko ni mzaramu wa Daresalamu ni mtoto wa mjini Zomboko anaujua Muziki wa Dansi sababu alikuwa Tax driver alikuwa anawabeba sana wanamuziki wa Dansi wa Zamani...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Zomboko ni mchambuzi mzuri?.. Dah kweli wastaafu muongezewe mikatabaSalam wakuu,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha hawavumi lakini wamo cha itv. Hua naenjoy kuangalia vipaji mbali mbali chipukizi, pia hua naenjoy sana uchambuzi wa huyu bwana. Anaonekana ana utaalam wa muziki hivyo ningependa kufahamu wasifu wake katika tasnia ya muziki au kama alishawahi kua mwanamuziki wa bendi fulani.
Kweli mkuu unamfatilia sana ni mjanja mjanja wa mjini mimi namjua miaka mingi ila nampenda hana majivuno hata mkionana live ukitaka kumfaidi mpigie simu akutengenezee Dvd ya hizo nyimbo mm utapenda akutengenezee Zote kariIla jamaa anachambua vizuri sana Muziki wa Dance na anaufahamu, nimeanza kumsikia kupitia RFA kila Alhamis( enzi hizo) kabla hajaanza kuchambua muziki Radio One kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 4Asubuhi-7 Mchana kwenye kipindi cha hizi nazo, pia kuanzia j3-Alhamis saa 4 usiku Radio One.
Anapenda sana kipindi chake
Aisee hizo nyimbo zinanikumbusha mbali sana, huwa namkumbuka mzee wangu, kaka zangu na dada zangu ambao walikuwa wanaziimba na kuzicheza sana.Kweli mkuu unamfatilia sana ni mjanja mjanja wa mjini mimi namjua miaka mingi ila nampenda hana majivuno hata mkionana live ukitaka kumfaidi mpigie simu akutengenezee Dvd ya hizo nyimbo mm utapenda akutengenezee Zote kari
Sawa ntakutumia mkuu miaka ile unakumbuka Ddc kariakoo ilikuwa imezungushiwa makuti na mabati kuna mabondia walikuwa wanaitwa omary yazidu chuku duso ndio walikuwa wanajifunza ubondia nilikuwa wakati ule maikarusi yalikuwa yakinishusha msimbazi nikivua uniform naenda kuchungulia ngumi DDCAisee hizo nyimbo zinanikumbusha mbali sana, huwa namkumbuka mzee wangu, kaka zangu na dada zangu ambao walikuwa wanaziimba na kuzicheza sana.
Pia nakumbuka enzi hizo Nilikuwa natembea kwa mguu toka kinondoni kwenda DDC Kondoa/ Kariakoo, au Silent in Mwenge, Max Bar Temeke, etc unakaa nje ya ukumbi unasikiliza hizo nyimbo live.
Sina namba ya huyo jamaa Zomboko, ningemuomba anifanyie collections , kama unayo ni PM
Mkuu ni mchambuzi tuu. Na ana historia ya kufuatilia hizo muziki wala sio msanii na kama ukitakakumfaham zaidi ni driver tax pale kibangu ukigaka nenda hapo utamkutaSalam wakuu,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha hawavumi lakini wamo cha itv. Hua naenjoy kuangalia vipaji mbali mbali chipukizi, pia hua naenjoy sana uchambuzi wa huyu bwana. Anaonekana ana utaalam wa muziki hivyo ningependa kufahamu wasifu wake katika tasnia ya muziki au kama alishawahi kua mwanamuziki wa bendi fulani.
Ni kweli mkuu na ni driver tax pale kila siku yupohana utaalam wowote alikuwj steji show tu wa muumin mwinjuma,aliwahi kuimba kidogo ila anajifanya mc kwenye shughuli za kiswahili maarufu kama mc wa kizaramo,anamgwaya sana bosi wake deo rweyunga!ila nenda riverside utamkuta
zomboko ni Raisi wa wachambuzi wa mziki wa dansi tanzania na hana mpinzani,,, hizo nyingine ni bla blah tuu, kama kuna mtanzania anayeweza KUFANYA mchambuzi wa muziki wa kale kama Zomboko atajwe hapa....Uzuri wake amekaa na hawa wasanii wa zamani anawajua vizuri sana.. HAYO MENGINE NI CHUKI BINAFSI TUU..... Mwingine anayeweza kumpa upinzani kidogo ni Masoud Masoud Manju wa Muziki wa TBCSalam wakuu,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha hawavumi lakini wamo cha itv. Hua naenjoy kuangalia vipaji mbali mbali chipukizi, pia hua naenjoy sana uchambuzi wa huyu bwana. Anaonekana ana utaalam wa muziki hivyo ningependa kufahamu wasifu wake katika tasnia ya muziki au kama alishawahi kua mwanamuziki wa bendi fulani.
Ni MC tena mkubwa nilishamwona Twanga Pepeta kama MC, Sikinde, Msondo na mpambano mkubwa kati ya sikinde na msondo yeye ndio alikua MC, pia bendi ya hussein Jumbe MZEE wa nachechemea yeye ndio huwa MChana utaalam wowote alikuwj steji show tu wa muumin mwinjuma,aliwahi kuimba kidogo ila anajifanya mc kwenye shughuli za kiswahili maarufu kama mc wa kizaramo,anamgwaya sana bosi wake deo rweyunga!ila nenda riverside utamkuta
Ndiyo maana kikaitwa"HAWAVUMI LKN WAMO"huyo nae mtaalam?!duu km huyo na mtaalam basi kumbe ni le profeseli wa uchambuzi!..,cjui hao wasanii uchwara anawaokoteaga wap...yan kla cku ni wa kuchipukia2,.mbna hawaoti 2le mahnd sie?!