Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Kivumbi leo 😃MTAZAMAJI, KULA CHUMA HICHOOOO!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivumbi leo 😃MTAZAMAJI, KULA CHUMA HICHOOOO!!!!!
Kula chuma hiko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Salam wakuu,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha hawavumi lakini wamo cha itv. Huwa naenjoy kuangalia vipaji mbalimbali chipukizi, pia huwa naenjoy sana uchambuzi wa huyu bwana...
Kipindi chake saa ngapi? Nilimfatilia wakati nipo iringa ilikuwa saa nne usiku nakumbuka ilikuwa mwaka 2016ITV wanatoa ajira za kudumu aiseeh😅 hongera zomboko ten years uko kwa hiko kipindi🙏 lol Kama miaka yangu ya experience ya fani nilosomea🙏how time flies
Mchambueni pia Masoud masoud wa TBC
Ndio hivyo kajipima kaona mambo ya kushika jembe hawezi, elimu hana ila mdomo anao acha autumie as long as hamkabi mtuAna utaalamu gani zaidi ya ujanja ujanja wa kwao manzese? Yule na Mbwiga.............wote kujua kuongea sana ndiyo kunawaweka mjini
Kula chuma hicho, dadeki🤣🙌Salam wakuu,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha hawavumi lakini wamo cha itv. Huwa naenjoy kuangalia vipaji mbalimbali chipukizi, pia huwa naenjoy sana uchambuzi wa huyu bwana.
Anaonekana ana utaalam wa muziki hivyo ningependa kufahamu wasifu wake katika tasnia ya muziki au kama alishawahi kuwa mwanamuziki wa bendi fulani.
View attachment 2577588
Kwani mnataka sehemu za vipaji watu walete degree??Ana utaalamu gani zaidi ya ujanja ujanja wa kwao manzese? Yule na Mbwiga wote kujua kuongea sana ndiyo kunawaweka mjini
HATA DRAFT LINA RAISzomboko ni Raisi wa wachambuzi wa mziki wa dansi tanzania na hana mpinzani,,, hizo nyingine ni bla blah tuu, kama kuna mtanzania anayeweza KUFANYA mchambuzi wa muziki wa kale kama Zomboko atajwe hapa....Uzuri wake amekaa na hawa wasanii wa zamani anawajua vizuri sana.. HAYO MENGINE NI CHUKI BINAFSI TUU..... Mwingine anayeweza kumpa upinzani kidogo ni Masoud Masoud Manju wa Muziki wa TBC