Napenda kufanya biashara ila sijapata muuzaji mwaminifu

Napenda kufanya biashara ila sijapata muuzaji mwaminifu

Wakuu habari za majukumu ya kutwa mzima.

Mimi ni kijana wa kiume (31) nina ham ya kutaka kufanya biashara lakini kila ninae muamini na kumuachia mtaji anakula mazima yaani mpaka nashindwa kumuamini tena mtu yeyote hata kama hana nia mbaya na mimi.

* Wa kwanza tulikubaliana biashara fulani nikampa mtaji wa laki 4 lakini hadi leo sikuona mtaji wala faida.

* Wa pili na yeye nilimpa laki 5 na yeye hadi leo sikuona faida wala mtaji.

* Wa tatu na yeye nilimpa laki 3 lakini alijiongezea yeye kwenye biashara zake yeye nilimbana akarudisha pesa zangu.

Sasa hapa nilipo nimekaa nawaza tena nianzishe biashara lakini kuna mdau mmoja alinambia ni bora utoe vitenge Kigoma na kuleta Dar aidha kwa cash au mkopo.
Iwapo kama wateja watakua waaminifu ( wa mkopo).

Ila changamoto iliyopo ni kukosa mtu mwaminifu wa kutoa kule na kuleta sehemu husika.
Napenda kusaidia mtu kwa njia kama kama hiyo ili na yeye apate chochote lakini watu wa sasa hawafadhiliki.

Hapa nilikua nataka nitoe fursa ya shilingi laki 5 ya kuanzia lakini ndo mpaka sasa naumiza kichwa nani nimpe afanye hiyo biashara.
Kazi yake aende akavichukuwe na kuja navyo Dar.
Kama hana wenyeji atakua analala guest gharama juu yangu ilimradi vyuma vilegee.

Sasa wakuu nimeona nije hapa nipate ushauri wowote kwenu maana hapa pana watu wana maoni ya mbali kuliko hata mitaani.
Na pia najua kuna watu watabeza ila mnaruhusiwa ila siruhusu matusi tu......karibuni.
Mkuu!
Achana na hizo habari za kumpa mtu 500,000 sijui 1,000,000....

Weeki ijayo Mwishoni nashusha Vitenge vya Wax Original kama Piece 300 hapo Dar!

Vitenge ni kutoka Congo, Burundi na Nigeria...
Bei ya jumla ni 25,000, ukichukua zaidi ya 10 pieces bei 20,000, sitaki faida kubwa coz navitoa jikoni!

Jumla naanza kuuza kuanzia 10 Pieces....
Kama upo serious njoo PM!
 
Vijana wote tungekuwa hvi nchi ingepiga hatua sana kimaendeleo. Tatizo vijana wa sasa wamelogwa na michezo ya kubeti.
 
Mkuu!
Achana na hizo habari za kumpa mtu 500,000 sijui 1,000,000....

Weeki ijayo Mwishoni nashusha Vitenge vya Wax Original kama Piece 300 hapo Dar!

Vitenge ni kutoka Congo, Burundi na Nigeria...
Bei ya jumla ni 25,000, ukichukua zaidi ya 10 pieces bei 20,000, sitaki faida kubwa coz navitoa jikoni!

Jumla naanza kuuza kuanzia 10 Pieces....
Kama upo serious njoo PM!
Nitakutafuta boss
 
Biashara yoyote lazima tu upigwe sema inategemea na mfanyakazi ulienae je anapiga kiakili au ndo anakumaliza kabisa
 
biashar ya kweli ni kilimo tuu best,jaribu utaona.
 
Wakuu habari za majukumu ya kutwa mzima.

Mimi ni kijana wa kiume (31) nina ham ya kutaka kufanya biashara lakini kila ninae muamini na kumuachia mtaji anakula mazima yaani mpaka nashindwa kumuamini tena mtu yeyote hata kama hana nia mbaya na mimi.

* Wa kwanza tulikubaliana biashara fulani nikampa mtaji wa laki 4 lakini hadi leo sikuona mtaji wala faida.

* Wa pili na yeye nilimpa laki 5 na yeye hadi leo sikuona faida wala mtaji.

* Wa tatu na yeye nilimpa laki 3 lakini alijiongezea yeye kwenye biashara zake yeye nilimbana akarudisha pesa zangu.

Sasa hapa nilipo nimekaa nawaza tena nianzishe biashara lakini kuna mdau mmoja alinambia ni bora utoe vitenge Kigoma na kuleta Dar aidha kwa cash au mkopo.
Iwapo kama wateja watakua waaminifu ( wa mkopo).

Ila changamoto iliyopo ni kukosa mtu mwaminifu wa kutoa kule na kuleta sehemu husika.
Napenda kusaidia mtu kwa njia kama kama hiyo ili na yeye apate chochote lakini watu wa sasa hawafadhiliki.

Hapa nilikua nataka nitoe fursa ya shilingi laki 5 ya kuanzia lakini ndo mpaka sasa naumiza kichwa nani nimpe afanye hiyo biashara.
Kazi yake aende akavichukuwe na kuja navyo Dar.
Kama hana wenyeji atakua analala guest gharama juu yangu ilimradi vyuma vilegee.

Sasa wakuu nimeona nije hapa nipate ushauri wowote kwenu maana hapa pana watu wana maoni ya mbali kuliko hata mitaani.
Na pia najua kuna watu watabeza ila mnaruhusiwa ila siruhusu matusi tu......karibuni.
Tatizo untaka kuwafanya wenzako ng'ombe wa maziwa, wao nao wameshtuka. Wanakufanya ATM yao. Badilika. Achana mipango ya kufanya biashara za kishamba kama hizo. Pambana mwenyewe kwa asilimia 100.
 
Mkuu!
Achana na hizo habari za kumpa mtu 500,000 sijui 1,000,000....

Weeki ijayo Mwishoni nashusha Vitenge vya Wax Original kama Piece 300 hapo Dar!

Vitenge ni kutoka Congo, Burundi na Nigeria...
Bei ya jumla ni 25,000, ukichukua zaidi ya 10 pieces bei 20,000, sitaki faida kubwa coz navitoa jikoni!

Jumla naanza kuuza kuanzia 10 Pieces....
Kama upo serious njoo PM!



Wax Original kwa 20,000? MMMMMMMMMMMMMhhhhhhh, sijui.


NB: Buyers be aware
 
Daaaaah kumbe hii changamoto ya kutoa hela kwa mtu badala yake ni kuingia hasra huoni faida wala mtaji ni kubwa kiasi hicho me binafs nilitaka nimpe mtu mtaji wa bishara ya pampas za watoto (Baby diapers) ila nishaanza kuingiwa nabuwoga sas
 
Wax Original kwa 20,000? MMMMMMMMMMMMMhhhhhhh, sijui.


NB: Buyers be aware
Mkuu! Si unafahamu Bei ya Soda mtaani ni sh. 600 but kuna sehemu Soda hiyo hiyo inauzwa 1,000....

Mm nipo Congo kwa Mishe zangu, Wax huku ni cheaper, nikirudi kama na 300 nikauza kwa 20,000 au 25,000 nna hasara gani?

Sina frame kusema nalipia kodi!
 
Wax Original kwa 20,000? MMMMMMMMMMMMMhhhhhhh, sijui.


NB: Buyers be aware
IMG_20180131_181057.jpg
IMG_20180131_181026.jpg


Wajuzi watakuja kusema! Nimekuwekea alama zote zinazotambulisha Wax Original toka Congo, wenyewe wanaita Wax Chitenge....
Ungejua bei wanayouza huku, hata nikiuza 15,000 inanilipa!
 
Uwe unamchunguza mtu hata kwa mwaka bila kumshiriksha kibiashara pia uwe mfatiliaji wa pesa zako(biashara yako
 
Kama upo serious nicheki PM,

Nitakupa namba ya mtu anaeuza vitenge huko kigoma! Yeye huwa ananitumia kwa basi
 
Tatizo untaka kuwafanya wenzako ng'ombe wa maziwa, wao nao wameshtuka. Wanakufanya ATM yao. Badilika. Achana mipango ya kufanya biashara za kishamba kama hizo. Pambana mwenyewe kwa asilimia 100.
Ahsante mkuu.
 
Back
Top Bottom