Napenda kufanya biashara ila sijapata muuzaji mwaminifu

Ila wadogo wengine nao balaa, utakuta ana vimichepuko kibao siku asipokuwepo sehemu ya biashara vinapanga foleni kuja kumuulizia natamani nitandike makofi.
 
Bora huyo mimi nilikuwa naye alikuwa anajituma sana lakini faida siioni, alikuwa na videmu kibao vinachukua pesa na bidhaa
 
Njoo PM tuyajenge mkuu, me ni kijana muaminifu kabisa, muhimu tuandikishane kisheria ili chochote kikitokea mtu akashitakiwe
 
Mkuu em nifuate pm mi siwez sema ni muaminifu ila njoo pm tu.
 
Ushauri nzuri sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…