ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Unapomuambia asichague kazi una maana gani na wakati yeye kishasema anataka kazi halali?Vyumba vya Kupanga vipo full, Kazi zipo nyingi, lkn Usichague kazi. wewe jali kipato.
KARIBU SANA!!!KAZI YA RAHISI KUPATA NI KUWA MPIGA DEBE HAPA SOWETO!KARIBU SANA!!!Wakuu Hbr za Week-end...!!!!???. Km Kichwa kinavyosomeka, Ktk Mikoa yote ya Tanzania, Mkoa Wa Mbeya nimetokea Kuupenda Kuliko Mikoa mingine Kwasababu kadhaa, Ya Kwanza ikiwa ni Gharama ndogo za Maisha tofauti na Mikoa mingine, Pili Mzunguko Mzuri Wa Fedha, Tatu ni Hali nzuri ya hewa inayovutia Uzalishaji mkubwa wa Mazao ya Chakula na Biashara, Nne ni Miundombinu Bora ya Barabara inayowezesha Usafirishaji wa Bidhaa za Viwandani na Kilimo.Hizo ni baadhi tu ya Sababu, lkn zipo nyingi.Nakupenda Mbeya japo siyo Kwetu.
Nilishawahi kuishi huko, kwa hiyo Nina Uzoefu na Maisha ya huko.Utakuwa mmbeya si polepole! Subiri tu ukianza kuishi tutaona!
Ninamaanisha kuwa Ktk hizo Kazi halali, asichague ya kufanya, Maana Wengine huwa wanachagua kazi.Unapomuambia asichague kazi una maana gani na wakati yeye kishasema anataka kazi halali?
Mimi napenda Kazi ngumu, zinazochukiwa na Wengi.KARIBU SANA!!!KAZI YA RAHISI KUPATA NI KUWA MPIGA DEBE HAPA SOWETO!KARIBU SANA!!!
Mambo yamebadirika lini ??, Mbona juzijuzi tu mambo yalikuwa fresh.Mkaa wa mia mbili hahahaaaa you are not serious man.
Kwa sasa chini ya buku hupati msosi wowote kwa mama ntilie, iwe chips kavu au wali maharage hata ugali maharage hupati. Ukienda sehemu ambazo ni changanyikeni kama doksi sahani ya wali maharage ni buku mbili, hapo hujanywa chai + kitafunwa, hujui usiku utakula nini.
Hata tukuyu zamani ndio lilikua kimbilio la wengi lakini saizi nako wameshtuka
Mbona na hiyo ni ngumu!Ningekushauri kama baba ana shamba hapo nyumbani kwa nini usiliendeleze?Tena maadamu wewe unapenda kazi ngumu ninakupongeza sana!Unajua mafanikio huja kwa kutumia ifaavyo vitu hivi:NGUVU(KAMA HIZO ULIZONAZO) +MUDA+FEDHA=MAFANIKIOMimi napenda Kazi ngumu, zinazochukiwa na Wengi.
Napenda kutumia nguvu Zangu kwa shughuli ngumu nikiwa Mbeya, kwasababu huko kuna tija, Nikitumia nguvu kulima mazao,najua nikiwa Mbeya Soko la mazao halitanisumbua.Mbona na hiyo ni ngumu!Ningekushauri kama baba ana shamba hapo nyumbani kwa nini usiliendeleze?Tena maadamu wewe unapenda kazi ngumu ninakupongeza sana!Unajua mafanikio huja kwa kutumia ifaavyo vitu hivi:NGUVU(KAMA HIZO ULIZONAZO) +MUDA+FEDHA=MAFANIKIO
DAR ES SALAAM JOTO SANA, TUKILALA NI SHIDA..Wakuu Hbr za Week-end...!!!!???. Km Kichwa kinavyosomeka, Ktk Mikoa yote ya Tanzania, Mkoa Wa Mbeya nimetokea Kuupenda Kuliko Mikoa mingine Kwasababu kadhaa, Ya Kwanza ikiwa ni Gharama ndogo za Maisha tofauti na Mikoa mingine, Pili Mzunguko Mzuri Wa Fedha, Tatu ni Hali nzuri ya hewa inayovutia Uzalishaji mkubwa wa Mazao ya Chakula na Biashara, Nne ni Miundombinu Bora ya Barabara inayowezesha Usafirishaji wa Bidhaa za Viwandani na Kilimo.Hizo ni baadhi tu ya Sababu, lkn zipo nyingi.Nakupenda Mbeya japo siyo Kwetu.
Inategemeana na kazi husikaokay poa mkuu, Ila hizo job zaweza kuingiza sh ngapi hivi kwa mwezi!?
Ukweli upo na ndio uhalisiaHuwa nasikia kutoka kwa watu wengi kuwa maisha ya MBEYA yana unafuu kulinganisha na mikoa mingine,
Mfano.
Chakula
Makazi ya kuishi
Biashara
Nguo
Na malezi mengine kwa ujumla je kuna ukweli wowote kuhusiana na hiyo. [emoji4] [emoji119] [emoji119]
Sawa nahitaji kufika mkoa wa mbeya naweza kujishughulisha na biashara gani zaidi ambayo soko lake lipo vizuri au shughuli gani ambaye inaweza kufanya nikaishi vizuri kwa unafuu wa maisha. Nisaidie endapo unajua kuhusiana na mkoa huu. [emoji17]Ukweli upo na ndio uhalisia
Km una mtaji fanya biashara ya kuuza Nafaka, itakutoa fasta. Kuna jamaa yangu anafanya shughuli hizo huko Mbeya nikimuona huwa ninamsalimia SHIKAMOO, Yaani yupo juu.Sawa nahitaji kufika mkoa wa mbeya naweza kujishughulisha na biashara gani zaidi ambayo soko lake lipo vizuri au shughuli gani ambaye inaweza kufanya nikaishi vizuri kwa unafuu wa maisha. Nisaidie endapo unajua kuhusiana na mkoa huu. [emoji17]
Umeona eeh!Wewe jamaa utakuwa mvivu sana. Ndio maana unasema hivyo. Kwa mchapakazi Mbeya lazima atoke.