Napenda kuishi sehemu yenye mji mdogo ila sio jiji kubwa au bush

Napenda kuishi sehemu yenye mji mdogo ila sio jiji kubwa au bush

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Yani hata nikiendaga Dar basi nakaa siku 3 tu, siku ya kwanza nafika, ya pili nafanya kilichonipeleka, ya tatu ndukii, kasoro labda kama kuna uhitaji wa kukaa zaidi.

Napenda kuishi miji midogo ama kama ni jiji basi iwe miji midogo nje ya jiji,

Napenda sehem iwe nimezungukwa na mimea zaidi, pawe tulivu, Pawe pia na majirani angalau na kuwe na umeme, internet na huduma nyingine za jamii.

Mfano wa maeneo uwe kama mafinga maeneo ya iringa, tukuyu, singida ile ya naje kidogo na mjini, na sehem nyine kama zenye mifanano hiyo.
 
Yani hata nikiendaga Dar basi nakaa siku 3 tu, siku ya kwanza nafika, ya pili nafanya kilichonipeleka, ya tatu ndukii, kasoro labda kama kuna uhitaji wa kukaa zaidi.

Napenda kuishi miji midogo tu, Kwa sasa nnependa niishi hata Singida
Kwa hiyo kifupi ni kwamba Dar hapaepukiki, hata wewe unayependa kukaa miji midogo bado unalazimika kuja Dar
 
Kama mimi napenda kuishi mji mdogo sana mfano mji wa amarillo Texas au santa Fe.

MÊmENtO HoMO
 
Si kinachokufanya uishi huko hiyo ajira yako...Huna uhuru.
 
Sipendi kabisa maisha ya mjini.Kama nina uwezo natafuta sehemu huko porini kama marehemu Mengi mjini wachawi wengi.
 
Yani hata nikiendaga Dar basi nakaa siku 3 tu, siku ya kwanza nafika, ya pili nafanya kilichonipeleka, ya tatu ndukii, kasoro labda kama kuna uhitaji wa kukaa zaidi.

Napenda kuishi miji midogo tu, Kwa sasa nnependa niishi hata Singida
Mkuu sio wewe tu.. Hata mimi pia maana hakunaga stress za ajabu kuishi kwenye kimji kidogo..pia fursa ukijiongeza zipo za kutosha na pia mausha ya msongo hakuna kabisa... Mm nimeishi.. Ila kwa sasa nipo DSM kikazi ila naweka mambo sawa nirudi aiseh.....
 
Tinde pale dah umenikumbusha kitambo kidogo nikitokea meatu na tranka langu nikitokea meatu sec kule mwanhuzi[emoji38][emoji38][emoji119]

MÊmENtO HoMO
😂😂😂 kumbe unapajua pande hizo,nikadhani hata hujawahi kupasikia mkuu.
 
Back
Top Bottom