Bujiiii haya bhanaMi sehemu popote kwangu pako poa, ila pawe na pisi kali, gambe na nyama
[emoji7]nipe details aiseKaribu singida
Dodoma apanaNjooni Dom huku hatufukuzagi wageni hata wasipo kuja na USAAJE
SAWA mkuuDodoma apana
Dah nikajua kule porini kwenye nyumba ya vioo bullet proof.Mengi kaishi mjini mpaka anakufa
🤣🤣🤣Dar tuachieni wenyewe.jogoo wa shamba na mjini wapi na wapi
Napajua sana ndio nilikuwa napandia mabasi ya kuja huku kwetu kaskazini Moshi ... Kipindi cha likizo[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unapajua pande hizo,nikadhani hata hujawahi kupasikia mkuu.
True bro, nimekuliza Dar, nimesoma huko mpaka elimu ya chuo.Ila acheni bwana toka nilipokuja huku wilayani sijajuta kabisaaaa!!!.Yani hata nikiendaga Dar basi nakaa siku 3 tu, siku ya kwanza nafika, ya pili nafanya kilichonipeleka, ya tatu ndukii, kasoro labda kama kuna uhitaji wa kukaa zaidi.
Napenda kuishi miji midogo tu, Kwa sasa nnependa niishi hata Singida
Mbwa wote hao wewe ni mhehe!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napenda ishi mji mkubwa wowote wenye huduma muhimu ila sio mjini
niwe nnje ya mji kabisa kule ambapo Tanesco hawafikirii hata kupeleka umeme hivi karibuni
Solar Panel zitambae juu ya Bati za kutosha na Heavy duty Generator langu standby likiwa tyr pale
Uwanja usipungue 1heka Mbwa wasipungue 20 usiku,yani hizi ndoto kufika 2025 Hazijatmia itabd nihamie CUF.
Mi nilifikiri ni mshamba hivi, nimejenga Mwanza lakini nimeamua kuhamia katoro tena pembeni kabisa, hii inategemea na interest za shughuli za kiuchumi, napenda ufugaji sana, napenda biashara za mazao ya kilimo. Kama umetengeneza miundo mbinu huko unaisha bila shida, hutapata presha wala kisukali. Unaweka solar yako kubwa, trecter, unachimba borehole na unaweka irrigation system, haki ya Mungu we Dar kaa tu huko..Y
Yani hata nikiendaga Dar basi nakaa siku 3 tu, siku ya kwanza nafika, ya pili nafanya kilichonipeleka, ya tatu ndukii, kasoro labda kama kuna uhitaji wa kukaa zaidi.
Napenda kuishi miji midogo tu, Kwa sasa nnependa niishi hata Singida
ani hata nikiendaga Dar basi nakaa siku 3 tu, siku ya kwanza nafika, ya pili nafanya kilichonipeleka, ya tatu ndukii, kasoro labda kama kuna uhitaji wa kukaa zaidi.
Napenda kuishi miji midogo tu, Kwa sasa nnependa niishi hata Singida