Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Walionipa hilo jina
Nitahakiki, hilo jina sijui kwa nini lilinikaa kichwani.
Ila linanikumbusha vitu kadhaa, sikuwahi kuwaza maana yake ni hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walionipa hilo jina
Kuna nini humu hadi awe makini
Kwanini mnamtisha mgeni jamani, mwambie karibu inatosha. Mambo ya trust nobody yaacheni atakuja kukosa connection kisa uoga. 😁
Kwanini mnamtisha mgeni jamani, mwambie karibu inatosha. Mambo ya trust nobody yaacheni atakuja kukosa connection kisa uoga. 😁
Kumbe huyo ni ME? Dah nilikua namvutia kasi nizame PM 😂Ha ha ha, ukute Aurora analinda koloni lake kwa kuwatisha wageni.
Kumbe huyo ni ME? Dah nilikua namvutia kasi nizame PM 😂
Mtoa tahadhariYupi kati ya hao?
Mwanzisha thread au mto tahadhari.
Mtoa tahadhari
😂😂😂Unataka kugonganisha magari eeh!
Huyo mimi pia niko kwenye mkakati.
Kuna nini humu hadi awe makini
Sent using simu mbovu
Kwanini mnamtisha mgeni jamani, mwambie karibu inatosha. Mambo ya trust nobody yaacheni atakuja kukosa connection kisa uoga. [emoji16]
Sawa mkuu
Ha ha ha, ukute Aurora analinda koloni lake kwa kuwatisha wageni.