Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
NimekukumbukaSawa mkuu
Yes, ntakupa screenshot za hizo posts?
Mambo vipi mkuu?Nimekukumbuka
Gudi aseeMambo vipi mkuu?
Nawasalimu.
Natumaini nami kuwa mmoja wenu katika kuendeleza JF.
Nimekuwa msomaji wa mda mrefu sasa, sina budi kujiunga nanyi kwa karibu zaidi.
Mimi ni KE kwa wale watakao ulizia KE au ME.
ASANTENI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Longest timeGudi asee
Karibu. I liked your attitudeHakuna ulazima wakuniamini.
Mimi sio mmoja wa watu wanaiita hivo..Mnatuita maua...lazima tuvutie na kunukia, ndio maana .
Anatuchola umu
Kwani kasema unauza dagaa kutoka ZanzibarUmejuaje nauza Dagaa kutoka Zanzibar
Ni ke bhana wewe zama tu mkuuKumbe huyo ni ME? Dah nilikua namvutia kasi nizame PM 😂