Napenda kujua taratibu za kuagiza simu China

Napenda kujua taratibu za kuagiza simu China

Einsten

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
921
Reaction score
795
Habari za muda wakuu,

Napenda kujua taratibu za kuagiza simu China na South Korea maana kuna chimbo nimepata ya kupata Refurbished phones kwa bei kitonga sana ila nmejaribu kuwasiliana na ARAMEX wameniambia wao hawaSHIP vitu vyenye battery kutoka china na korea labda USA (usa gharama).

Maana kwa hawa mawakala wengne kama Unique wana-charge $25/pc sasa faida inakuaga ndogo sana na korea ndio hawapo kabisa.

Mwenye uzoefu wa kununua simu kwenye hizo nchi mbili CHINA na SOUTH KOREA naomba anipe mwongozo.@Mwl.RCT kaka naomba uzoefu wako maana wote tunataka tuendeshe Benz[emoji23][emoji23]
 
Sidhani kama utapata 'alternative' yenye gharama nafuu zaidi ya hii $25
Duuuuh hv kwa meli huwa haiwezekan maana sijawahi kujaribu nilitakaga nisafirishe kwa mweli nikasita nikawalipa tu unique.
china na korea wana simu ambazo nzur kibiashara sana zinazouzika na zenye faida nzur sana ila shipping ndio majanga
 
kuna mshikaji wangu yeye yuko korea anakuagizia hadi TZ kwa mapatano
Hayo mambo ya mshikaji wang kwa mtanzania HAPANA usawa huu kupigwa zaid ya 4M kwa kumwamini tu mtu ni ujinga level ya PHD. Ngoja nipambane kusaka agents wa kueleweka
 
Kila mtanzania ana jamaa yake dunia nzima,kwahiyo tuaminiane tu viongozi [emoji851]
Tunapigwa changa la macho na jamaa zetu wa hapa hapa nchin ambao hatuhitaji visa wa passport kuwafuata sembuse hao waliopo china au USA ambao kwenda tu ni mtaji wa kuongeza vitu vyako ofisini??
 
Tunapigwa changa la macho na jamaa zetu wa hapa hapa nchin ambao hatuhitaji visa wa passport kuwafuata sembuse hao waliopo china au USA ambao kwenda tu ni mtaji wa kuongeza vitu vyako ofisini??

Tujibu basi hayo machimbo ya refublished na sisi tupitie tuone tunaweza kufanya lolote ili mkono uende kinywani
 
Tunapigwa changa la macho na jamaa zetu wa hapa hapa nchin ambao hatuhitaji visa wa passport kuwafuata sembuse hao waliopo china au USA ambao kwenda tu ni mtaji wa kuongeza vitu vyako ofisini??
Unaweza kumuamini huyo kiongozi wa unique cargo (Mwacha) aliyeko China kama agent wako akawa anafanya payments kwa supplier au akakupa supplier.
Ni mtu namfahamu tangu utotoni yuko vizuri ndio maana unaona kampuni inaeleweka.
Hana fee, faida yake ni Wewe kutumia kampuni yake kusafirisha
 
Tujibu basi hayo machimbo ya refublished na sisi tupitie tuone tunaweza kufanya lolote ili mkono uende kinywani
kwa kuanza anzia alibaba tu ndugu wana product nzur sana ila uwe makini sana
 
Unaweza kumuamini huyo kiongozi wa unique cargo (Mwacha) aliyeko China kama agent wako akawa anafanya payments kwa supplier au akakupa supplier.
Ni mtu namfahamu tangu utotoni yuko vizuri ndio maana unaona kampuni inaeleweka.
Hana fee, faida yake ni Wewe kutumia kampuni yake kusafirisha
Tatizo ya hawa nishaweka juu hapo na kingine unique ni china tu pia wanatumia ndege ma gharama zao ni kwa simu moja nilitaka watu ambao naweza nikasafirisha simu kwa KG
 
Back
Top Bottom