Sidhani kama utapata 'alternative' yenye gharama nafuu zaidi ya hii $25$25/pc
Duuuuh hv kwa meli huwa haiwezekan maana sijawahi kujaribu nilitakaga nisafirishe kwa mweli nikasita nikawalipa tu unique.Sidhani kama utapata 'alternative' yenye gharama nafuu zaidi ya hii $25
Mkuu hii bei ni Kwa Meli au ndege ?Sidhani kama utapata 'alternative' yenye gharama nafuu zaidi ya hii $25
Wewe muuza simu used mbona hutuuzii?Kila mtanzania ana jamaa yake dunia nzima,kwahiyo tuaminiane tu viongozi [emoji851]
Tunapigwa changa la macho na jamaa zetu wa hapa hapa nchin ambao hatuhitaji visa wa passport kuwafuata sembuse hao waliopo china au USA ambao kwenda tu ni mtaji wa kuongeza vitu vyako ofisini??Kila mtanzania ana jamaa yake dunia nzima,kwahiyo tuaminiane tu viongozi [emoji851]
Tunapigwa changa la macho na jamaa zetu wa hapa hapa nchin ambao hatuhitaji visa wa passport kuwafuata sembuse hao waliopo china au USA ambao kwenda tu ni mtaji wa kuongeza vitu vyako ofisini??
Unaweza kumuamini huyo kiongozi wa unique cargo (Mwacha) aliyeko China kama agent wako akawa anafanya payments kwa supplier au akakupa supplier.Tunapigwa changa la macho na jamaa zetu wa hapa hapa nchin ambao hatuhitaji visa wa passport kuwafuata sembuse hao waliopo china au USA ambao kwenda tu ni mtaji wa kuongeza vitu vyako ofisini??
Tatizo ya hawa nishaweka juu hapo na kingine unique ni china tu pia wanatumia ndege ma gharama zao ni kwa simu moja nilitaka watu ambao naweza nikasafirisha simu kwa KGUnaweza kumuamini huyo kiongozi wa unique cargo (Mwacha) aliyeko China kama agent wako akawa anafanya payments kwa supplier au akakupa supplier.
Ni mtu namfahamu tangu utotoni yuko vizuri ndio maana unaona kampuni inaeleweka.
Hana fee, faida yake ni Wewe kutumia kampuni yake kusafirisha
Ni kampuni ya usafirishaji kama ilivyo DHL, UPSARAMEX ni
Njia ya ndege, na gharaa huwa ni kati ya $22 hadi 65 kutegemea na muuzaji amepanga kutumia kampuni ipi.ndege ?