Fulling Porce
Member
- Mar 26, 2018
- 39
- 36
Hapana nimependa tu kujua watu hawa wana sifa zipi na desturi zao..Umepata mchumba mmbondei?
Utilio mama wewe mbondei wa wapi?Ni moja ya makabila ya kwanza kupata elimu. Baada ya uhuru wengi walikuwa serikalini. Ni waaminifu mno wakistaafu hata kalamu aliyotumia ataiacha mezani.
But mkuu trust issues huwa ni personal for what i know... ni mtu tuu anaamua kuwa hivyoNi moja ya makabila ya kwanza kupata elimu. Baada ya uhuru wengi walikuwa serikalini. Ni waaminifu mno wakistaafu hata kalamu aliyotumia ataiacha mezani.
Nasubiri kulithibitisha hiliKuna mdada mbondei job hadi juzi kachezea kichapo kwa umbea, na ushirikina!
Halafu talkative mnooo dooooh!
ni tangaWabondei ni watanzania wanaopatikana mkoani Songea wilayani Kagera.
Hiyo nimeisikia hata Mimi. Wabondei sifa nyingi nje, maisha yao hayana tofauti na wasomali.Zamani, walikua wanasema ni mlango wa 8, kwamba mwanaume wa kabila jengine akioa hapo hua haendelei sjui kuhusu sasa hivi
hii ni kwa ni kwa baadhi ya wanawake umkute barabarani kavaa kapendeza nenda anapolala utatamani ukimbieHiyo nimeisikia hata Mimi. Wabondei sifa nyingi nje, maisha yao hayana tofauti na wasomali.
Unaweza kukuta, amevaa vizuri lakini anapolala ni balaa.
Kwenye umalaya hpo mkuu umenena Akina Mayasa mmh! Mbondei ni tabu neno sitaki naona linawapa kiunguliaHawachekani na wadigo kwa umalaya hawajambo, wanasema FIFA moja haliivishi mboga. Be care
Duh..Hawachekani na wadigo kwa umalaya hawajambo, wanasema FIFA moja haliivishi mboga. Be care
Hatari sana.hii ni kwa ni kwa baadhi ya wanawake umkute barabarani kavaa kapendeza nenda anapolala utatamani ukimbie
Kwaio unakua ni kama unaishi umeshikilia handbreak[emoji23]Zamani, walikua wanasema ni mlango wa 8, kwamba mwanaume wa kabila jengine akioa hapo hua haendelei sjui kuhusu sasa hivi
Mayasa yupi nikajaribuKwenye umalaya hpo mkuu umenena Akina Mayasa mmh! Mbondei ni tabu neno sitaki naona linawapa kiungulia
Mkuu hayo ni majina yao wabondei Mayasa, TabuMayasa yupi nikajaribu