mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Hizo ni imani tu mkuu,,mm ni mdigo na nimeishi na mwanamke Wa kibondei kwa mafanikio makubwa,,,,ila history inasema hapo zamani WADIGO NA WABONDEI waliwahi KUPIGANA VITA....kugombea mji Wa TANGA MJINI....maana Tanga yote ilikuwa ni MASHAMBA YA WABONDEI na ndy wenye mji Wa TANGA....TANGA kwa Kibondei maana YAKE ni SHAMBA...asili ya WADIGO ni MOMBASA...Write your reply...ni mlango wa nane ukitaka ufukuzwe kazi maisha yako yayumbe oa mbondei wanawezana wenyewe kwa wenyewe