Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kuweni makini maana Sky Eclat ni mtu wa Bonde
Erasto Mang’enya ni wa enzi za wakina Martin Kiama, Mdoe anaweza kuwa mtoto wao.[emoji12] ....kuhama nyumba ya serikali mpaka ulete polisi, miongoni mwa wasomi wa mwanzo wa kibondei ni Steven Muhando, Erasto Mang'enya na Fred Jimm Mdoe !