Napenda kukitetea Chuo changu cha Mlimani (UDSM)

Napenda kukitetea Chuo changu cha Mlimani (UDSM)

kuna tetesi kwamba kuanzia mwaka huu wa masomo ada za MA pale UDSM zitapanda mara mbili. c mchezo maisha yanapanda knyamaaaaaaaaaaaaaaaaa. ada ya MA ya Education itakuwa sh, Milion 6.
 
kuna tetesi kwamba kuanzia mwaka huu wa masomo ada za MA pale UDSM zitapanda mara mbili. c mchezo maisha yanapanda knyamaaaaaaaaaaaaaaaaa. ada ya MA ya Education itakuwa sh, Milion 6.
 
Kumekuwa na Taarifa kuwa UDSM kinazalisha vilaza. Napenda kuwahasa wananchi waendelee kusoma pale maana ndio chuo pekee kinachotoa elimu bora kuliko vyote Tanzania. Matatizo ni machacha sana kwenye kitengo cha uchumi, kitengo hiki hakina walimu ndio maana wanaomaliza uchumi pale bila kupata elimu ya ziada nje ya nchi unakuwa useless katika taifa. Walimu wote wa uchumi wa UDSM ndio hovyo paka kupelekea wahitimu kutotoa mchango wowote katika nchi hii! Hivyo naomba mjue vitengo vingine viko sawa kabisa ila kitengo cha uchumi ni chakukiangaliza zaidi ikiwezekana kifutwe ili chuo kisiendelee kuchafuka.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Kumbe unajua kabisa chuo kinazalisha vilaza. Naona umewai mapema kutoa hoja na kuthibitisha kuwa wewe ni mmoja wapo ya VILAZA. Umeshindwa ata kufanya editing mpaka sasa ??? Upo UDSM ww au ndo unasubiri majibu ya TCU. ?? Kwa sababu umeandika kama mtoto wa darasa la kwanza St kayumba.
 
kwenye red ni kwamba SUA IMETOKANA NA UDSM MAANA ILIKUA INAITWA FACULTY OF AGRICULTURE KABLA YA KUJA KUITWA CHUO KIKUU CHA KILIMO,TUJE ARDHI YENYEWE ILIKUA NI COLLEGE TU YA UDSM,NA ILIKUA INAITWA UCLAS(KAMA SIJAKOSEA),MUHIMBILI NI TAWI LA UDSM,MWANZO ILIKUA NI FAKATI OF MEDISINI,SASA KWA MCHANGANUO HUO NDO MAANA ANASEMA HIVYO VYUO NI MAZALIA YA UDSM aka the hill,akak nyerere campus

OK. Maelezo yako yanajitosheleza, Ila nilitaka kukumdogo ajibu swali no. 1,2, na 3 lakini naona kama ameingia mitini. Maana wanaomaliza hapa Udsm na kutoka na 'gentle man GPA' ndio huwa na kelele nyingi sana tofauti na hata wale wa upper 2nd na zaidi ya hapo! Mara zote mtu aliyeelimika anapaswa kuwa mwerevu na mwenye busara.@Mkoroshokigoli
 
hii kozi alinifundisha hayati Prof Haroub Othuman,kwa bahat mbaya wakati tunajipanga kwa test za course work akafariki
>Governance,Civili Society and development
Mungu amrehemu Prof Haroub, ngwale mzuri sana ila kama kawaida yao waalimu wa pale sifa nyingi as if wanafanya matangazo.
 
OK. Maelezo yako yanajitosheleza, Ila nilitaka kukumdogo ajibu swali no. 1,2, na 3 lakini naona kama ameingia mitini. Maana wanaomaliza hapa Udsm na kutoka na 'gentle man GPA' ndio huwa na kelele nyingi sana tofauti na hata wale wa upper 2nd na zaidi ya hapo! Mara zote mtu aliyeelimika anapaswa kuwa mwerevu na mwenye busara.@Mkoroshokigoli

Kaka sijakimbia mimi nipo sema maswali yako yanajibika kirahisi sana!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom