Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Huu ni udhaifu wangu nimejaribu kuacha nimeshindwa.
Hata nikienda kibaruani nayaficha kwenye begi nikisikia hamu nachukua kwenye kijiko nayaweka kwenye karatasi naenda kuyalamba sehemu nisiyoonekana.
Nayamumunyaa mpaka yanaisha ndio nakuja sehemu ya public.
I am 40+ with children but my struggle to stop this insane ended in vain.
Nisaidieni naachaje kulamba maziwa ya unga ya watoto?
Hata nikienda kibaruani nayaficha kwenye begi nikisikia hamu nachukua kwenye kijiko nayaweka kwenye karatasi naenda kuyalamba sehemu nisiyoonekana.
Nayamumunyaa mpaka yanaisha ndio nakuja sehemu ya public.
I am 40+ with children but my struggle to stop this insane ended in vain.
Nisaidieni naachaje kulamba maziwa ya unga ya watoto?