Napenda kulamba maziwa ya unga

Napenda kulamba maziwa ya unga

Hayo ya waarabu sio matamu yapo kwenye kopo jekundu nayafahamu nunua Yale yakupima yako yellowish hutajuta.
 
Kila mtu na ulevi wake, huo ndio ulevi wako,ukiacha ghafura unaweza kuanza ulevi wa kitu kingine, punguza dozi taratibu then utaacha automatically.

California love
 
Uache kwa nini? Wewe lamba kwa kwenda mbele,mbona humu wamo wavuta sigara na ugoro lkn maisha yanaendelea sembuse maziwa!!!!! Khaaaa. Tatizo la Nido ni kugandia pale katikati ya ulimi huwa inapoteza confidence ukiwa unamu address mtu. MIMI HUNIAMBII KITU KWENYE SERELAC


We ni men?😆😆😆😆 Uwii...ni km uone men anakula ubuyu Tena reddish😆😆😆
 
Huu ni udhaifu wangu nimejaribu kuacha nimeshindwa.

Hata nikienda kibaruani nayaficha kwenye begi nikisikia hamu nachukua kwenye kijiko nayaweka kwenye karatasi naenda kuyalamba sehemu nisiyoonekana.

Nayamumunyaa mpaka yanaisha ndio nakuja sehemu ya public.

I am 40+ with children but my struggle to stop this insane ended in vain.

Nisaidieni naachaje kulamba maziwa ya unga ya watoto?
Maziwa ni chakula bora!
 
Mi mwenyewe nalamba Sana maziwa kila nikijisikia. Bora tunaolamba maziwa wapo wanaokula udongo mtu ananunua Hadi wa elfu tano kabisa.
 
Acha uje uhamie kwenye ugoro..😅

Mi nakushauri endelea tu mbona fresh tu unazeeka vizuri ndugu.. keep it up kuna watu wanahangaika na misaraba ya kuwa addicted na unga ule unga unga kweli,sigara,mapunyeto n.k
Sasa we maziwa tu keep it up bro..
 
Mi Niko addicted na ile maziwa ya mama yeyooo! Hasa ukute chuchu saa 6 naweza nyonya mpaka nkasinzia hapo
 
Na anayekula sana mchele mbichi..tatizo huwa ni nini?
Tatizo huwa linaanzia hapo hapo kwenye upungufu wa aina fulani ya virutubisho kutoka na kuwa na diet ambayo ni monotonous-isyobadilika sasa siku unapoonja mchele mmbichi au maziwa au chchote kila unakuwa na craving ya hicho kitu.Ukifanya mabadiliko katika diet yako unaweza kusolve tatizo kwa urahisi zaidi.
 
Nina
Nina majukumu mengi Tena makubwa imagine najiandaa kumpaulia nyumba my aunt achilia mbali ndugu na watoto ninaosomesha ila hii tabia ianishinda.
Kama una nia kweli ya kuacha unaweza..usinunue kopo dogo..nunua kubwa linauzwa sijui sixty something halafu tafuta muda ukiwa umetulia sehemu..asiwepo mtu yoyote..kama ni nyumbani basi ingia chumbani asijue yoyote kuwa umenunua maziwa.

Fungua kopo lako kaa tulia anza kuyalamba kidogo kidogo usiondoke au kufanya kitu kingine chochote....

Mindset yako iwe inania ya kumaliza kopo lote kwa muda huo yaani nia iwe hutoki chumbani au kufanya chochote mpaka yaishe..endelea..kula tuu..endelea mpaka uanze kuhisi kama yameanza kukuchefua...endelea baadaye utaanza kuhisi hadi kichefuchefu..usiache endelea....................baadaye ukishindwa kabisa acha ondoka....utaanza kubeua beua..hiyo hali baadaye itakukera..baadaye utaanza kuhisi hayo maziwa yana harufu mbaya mbaya sana...baadaye hutataka kuyaona tena chumbani..utayatoa....baadaye...baadayee...baadaye kama unaishi mwenyewe unaweza hata kuyatupa kabisa...maana kila ukiyaona hata kopo tuu lazima utabeua tuu.....tatizo na addiction itaishia hapo

Ila eti ukiendelea kudonoa donoa hivyo kidogo kidogo...hutapona kamwe..
Ingawa kwa wengine tatizo hilo hutokana naa,....!!??????.
 
Hali hiyo ilikuanza lini?
Je ni muda gani sasa tangu uanze hiyo tabia?

Kwanza fahamu kuwa maziwa ya unga hayashauriwi kutumika kiafya [emoji108][emoji108]

Mimi huwa nashangaa sana kuona watu wakinunua mazima ya unga madukani kwa matumizi ya familia [emoji108][emoji108]

Yana madhara zaidi kuliko faida za kilishe [emoji108][emoji108]

Ni sawa na mwenye mazoea ya kunywa soda mara kwa mara !

Sipo hapa kuharibu masoko ya watu lakini asomae na afahamu!
 
Ile harufu unaivumiliaje?
Bora hata kula maini
 
Back
Top Bottom