Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mtoto wa mama /Kula kulalaNina
Nina majukumu mengi Tena makubwa imagine najiandaa kumpaulia nyumba my aunt achilia mbali ndugu na watoto ninaosomesha ila hii tabia ianishinda
Uache kwa nini? Wewe lamba kwa kwenda mbele,mbona humu wamo wavuta sigara na ugoro lkn maisha yanaendelea sembuse maziwa!!!!! Khaaaa. Tatizo la Nido ni kugandia pale katikati ya ulimi huwa inapoteza confidence ukiwa unamu address mtu. MIMI HUNIAMBII KITU KWENYE SERELAC
Ukimkamata mama anaye nyonyesha nadhani atakufa kabisaa.Hayo ya waarabu sio matamu yapo kwenye kopo jekundu nayafahamu nunua Yale yakupima yako yellowish hutajuta.
Maziwa ni chakula bora!Huu ni udhaifu wangu nimejaribu kuacha nimeshindwa.
Hata nikienda kibaruani nayaficha kwenye begi nikisikia hamu nachukua kwenye kijiko nayaweka kwenye karatasi naenda kuyalamba sehemu nisiyoonekana.
Nayamumunyaa mpaka yanaisha ndio nakuja sehemu ya public.
I am 40+ with children but my struggle to stop this insane ended in vain.
Nisaidieni naachaje kulamba maziwa ya unga ya watoto?
Yes! With a family of four childrenWe ni men?😆😆😆😆 Uwii...ni km uone men anakula ubuyu Tena reddish😆😆😆
Uliwahi pata msongo wa mawazo?Mimi interval yakulamba ni 3-5 minutes when am alone na 20-30 minutes if am in public.
Tatizo huwa linaanzia hapo hapo kwenye upungufu wa aina fulani ya virutubisho kutoka na kuwa na diet ambayo ni monotonous-isyobadilika sasa siku unapoonja mchele mmbichi au maziwa au chchote kila unakuwa na craving ya hicho kitu.Ukifanya mabadiliko katika diet yako unaweza kusolve tatizo kwa urahisi zaidi.Na anayekula sana mchele mbichi..tatizo huwa ni nini?
Kama una nia kweli ya kuacha unaweza..usinunue kopo dogo..nunua kubwa linauzwa sijui sixty something halafu tafuta muda ukiwa umetulia sehemu..asiwepo mtu yoyote..kama ni nyumbani basi ingia chumbani asijue yoyote kuwa umenunua maziwa.Nina
Nina majukumu mengi Tena makubwa imagine najiandaa kumpaulia nyumba my aunt achilia mbali ndugu na watoto ninaosomesha ila hii tabia ianishinda.