Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kama unajali afya yako chukia kabisa kutumia maziwa ya unga!
Usinunue kabisa!
Tafuta maziwa flesh nunua hata Bill kila mwezi .
Maziwa ya unga mengi siyo maziwa hasa wanaweka fleva tu Ndiyo maana werevu hawathubutu kuyanywa.
Bora anayetumia mchaichai na mdalasini
Kuna watu wamepata wanaumwa sababu ya matumizi ya maziwa ya unga!
Kwanza yanawekwa sukari za viwandani
Yachukie uwe salama
Usinunue kabisa!
Tafuta maziwa flesh nunua hata Bill kila mwezi .
Maziwa ya unga mengi siyo maziwa hasa wanaweka fleva tu Ndiyo maana werevu hawathubutu kuyanywa.
Bora anayetumia mchaichai na mdalasini
Kuna watu wamepata wanaumwa sababu ya matumizi ya maziwa ya unga!
Kwanza yanawekwa sukari za viwandani
Yachukie uwe salama