Soon unadanjaWangari Maathai mbona unanicheka?
Namimi ni hivihivi mkuu inaniudhi Sana hii Tabia ila nashindwa kuacha nahisi Kama ni sign of immaturityNikajua niko peke yangu. Nimenunua kopo kubwa la NIDO kwa ajili ya kuwekea kwenye chai na kahawa ila cha ajabu nikiwa home kila baada ya nusu saa lazma nilambe.
Mkikua mtaachaaa, huo muda wa kulamba mnapata wapi?😛😛! Ni utoto tuNami
Namimi ni hivihivi mkuu inaniudhi Sana hii Tabia ila nashindwa kuacha nahisi Kama ni sign of immaturity
Nina majukumu mengi Tena makubwa imagine najiandaa kumpaulia nyumba my aunt achilia mbali ndugu na watoto ninaosomesha ila hii tabia ianishinda.Nido haina adabu. Huna majukumu wewe. Mie nilikua mfuasi wa ubuyu wa zenji, majukumu yalipozidi automatic nikaacha
Nina
Nina majukumu mengi Tena makubwa imagine najiandaa kumpaulia nyumba my aunt achilia mbali ndugu na watoto ninaosomesha ila hii tabia ianishinda.
Mimi interval yakulamba ni 3-5 minutes when am alone na 20-30 minutes if am in public.Nikajua niko peke yangu. Nimenunua kopo kubwa la NIDO kwa ajili ya kuwekea kwenye chai na kahawa ila cha ajabu nikiwa home kila baada ya nusu saa lazma nilambe.
Hapa kwenyewe natype nikiwa na unga mkononi.
Unampaulia nyumba shangazi na unasomesha!Nina
Nina majukumu mengi Tena makubwa imagine najiandaa kumpaulia nyumba my aunt achilia mbali ndugu na watoto ninaosomesha ila hii tabia ianishinda
Mkuu usichukulie serious sana kila kinachopostiwa mtandaoni.Unampaulia nyumba shangazi na unasomesha!
Wewe ni mason pia ni teacher?
Kama yote hayo unayafanya kwa njia ya 'remote', basi hauna majukumu ndiyo maana ni 'mramba'.
Sure?Soon unadanja