Napenda kulamba maziwa ya unga

Kama unajali afya yako chukia kabisa kutumia maziwa ya unga!

Usinunue kabisa!

Tafuta maziwa flesh nunua hata Bill kila mwezi .

Maziwa ya unga mengi siyo maziwa hasa wanaweka fleva tu Ndiyo maana werevu hawathubutu kuyanywa.

Bora anayetumia mchaichai na mdalasini

Kuna watu wamepata wanaumwa sababu ya matumizi ya maziwa ya unga!

Kwanza yanawekwa sukari za viwandani

Yachukie uwe salama
 
Hakika naungana na wewe content zimejionesha vyema out of that si bora kwa matumizi .
 
Nasoma huu uzi huku mate yamenijaa mdomoni
 
Tafuta pia CERELAC, utakuja hapa kunishukuru
 
as long as huvunji sheria za nchi..wewe lamba tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…