Napenda kumtakia kila la heri member financial services, nahisi anapitia magumu kwenye mahusiano...

Afu wewe ka Makavelli ni kaongo, una huo ubavu wa kumuonyesha mke conversation yako na watu wengine aah. Ukidundwa shauri yako na usinitaje😀
Waswahili walisema mkataa pema, pabaya panamuita.

Mie na wife mbona ni washikaji wazuri tu, tunapiga stori, analeta umbea wake, wakimtongoza ananiambia.. Kishikaji tu.

Na ndio maana alipoona uzi wako jimbo liko wazi akaniambia niombe KURA, pesa za kampeni atachangia, katika members wa Jf we ndio anakupenda zaidi 😂
 
Mwambie namheshimu kama wifi, jimbo langu liacheni wazi hivi hivi sitaki😀😀
 
Ahsante sana mkuu kwa kunitakia heri mimi pamoja na wengine wote wanaopitia situation kama yangu.nakosa hata cha kusema zaidi lakini tunamshukuru Mungu kwa
Tulio wengi tuna mapito ya mambo mengi so usiwaze.Ugumu ni mkubwa sana siku hizi katika mambo tofauti tofauti so be strong songa mbele.Maisha ni kusonga na kusonga mbele haijalishi vikwazo gani vinakujia.
 
Mamaqe,
nothing will ever stand on your way, NEVER..!
you need to change that negative attitude tafadhali, which complications..? Na kwanini hizo complications unaamini zitakupata wewe..? Wangapi wamepata watoto at their 30's huku wao na watoto wao wapo salama kabisa..??

everything starts with your MINDSET, you really need to change that Girlie, na kubwa zaidi najua una Imani Kuu kwa Mungu wetu aliye mbinguni muumba wa mbingu na nchi sivyo..?? Kama unamuamini hebu tafadhali sana ishi kama mwanamke mwenye Mungu ndani yake, kamwe 'USIOGOPE'..!
 
Kwa muandiko huu asee
 
Ahsante sana Carleen, ngoja nibadili mtizamo ila kiukweli nakua nahofu sometimes , but ntajitahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…