Napenda mwanamke akiwa na Handbag nzuri!

Napenda mwanamke akiwa na Handbag nzuri!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Mimi hupenda mwanamke anayejali kuwa na handbag nzuri.

Je wewe?

3db6bf0257e6a28910b960c4c212b30b.jpg
f6ac668b21c0a5a359d7f4d8d2103948.jpg
bd2a73eac9fa4e5a5a0ddb15424e63b7.jpg
 
Dah tunatofautiana vipaumbele asee, Mimi awe na handbag nzuri au mbaya hata sijali, Ila tu awe na chura ya wastani. hata kama awe kama mmasaid wallaah!!!
 
Me naona kabiashara hii. Ungesema na bei zake.

Kuhusu kupenda kwangu no matter kabeba nini au pengine chochote. Kubwa anivutie tu maana mwisho wa siku wote wataomba hela. Kwa hyo wallet zinahusika sana tu hayo mengine ni mbwembwe.
 
Huwa inawasaidia sana kubebea MAKINIKIA...

Tatizo baadhi huwa wavivu, hawachelewi kumpa Mwanaume aubebe...!!
Nawaachaga nyuma ama watangulie hatua kadhaa...🙂🙂🙂
 
Huwa unamnunulia au unapenda tu kumuona na handbag nzuri
 
DUH--una maanisha handbag hizi hizi ninazozijua mimi au umetumia tafsida mkuu

anyway hata mimi napenda pia
 
Nawapenda sana wadada wanapokuwa na mikoba inayonivutia machoni. Mfano picha hii chini niliipata sehemu kitambo tu, mbali na show ya jiko lakini mkoba ndio ulionivutia hasa, nikaamua niihifadhi hadi leo ninayo:

1622055_622858671101326_1352867650_n.jpg
1622055_622858671101326_1352867650_n.jpg
 
Back
Top Bottom