Kabisa yani, haya unapenda pesa kama sh ngapi hiv?ni kweli
Hapana inategemea unafungua jukwaa gani kama kule jf chit chat mbn at least sio unafungua mada kule jf intelligence au great thinker utaambulia povuu tu ππNjee ya mada, Dah ila binafsi naonaga kuanzisha uzi mtu unatakiwa uwe mahiri sana ,ndio maana ninaweza kuwa nina madini ila nikikumbuka humo kuna watu smart sana naacha kufungua uzi.
Hapana siwezi kukupa ,tuna share tu mawazo.unataka unipe?
YeahHiyo imeenda hairudi mpenzi hakopeshwi anapewa
min -me kazi ni kwakoaha now hapa nataka nifikishe million so bado kma lak3 hivi kwenye cm
Acha mwamba ajitose, si unajua iphone 16 ishatoka, ndo msimu wa wakina dada wa mjini kuzibuliwa mitaro.Me nipo nawasikilizia tu hapa labda waende pm πππ
Pambana kama umeweza kote huko hapo ni padogo tu kila la heriaha now hapa nataka nifikishe million so bado kma lak3 hivi kwenye cm
Ni kweli mkuu mijini tunawaona na iphone 16 wanaringa kumbe wametaabika huko πππAcha mwamba ajitose, si unajua iphone 16 ishatoka, ndo msimu wa wakina dada wa mjini kuzibuliwa mitaro.
Pambana kama umeweza kote huko hapo ni padogo tu kila la heri
Wala mkuu mimi sio ,ni vile sina hela tu .Mkuu wewe ni mmojawapo wa UWABATA nini??
Okay umemtia moyo vizuri mkuu ππππWala mkuu mimi sio ,ni vile sina hela tu .