Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema Sigara sio hatari km watu wanavyoisema Ila pombe nimekunywa zaidi ya miaka 15, nimeacha nilikua mkemia mkuu mzee wa mixer na cocktail sasa hivi natembea ubalozini sitaki tena tungiPombe na soda kipi hatari zaidi?
Whether marination take place.So what do you want to discover?
Huyu kwenda nae bar ananifaa sana sio wale wanuka kwapa wanataka kunywa Savana🤣🤣my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ipi ya Moshi au bukoba mshauri vizuriJaribu na gongo tuone
Sio kweli pombe haileti hayo magonjwa I was been there, madaktari wenyewe wanatibu huku wana sukumia na kamvinyo pembeniSiyo ujanja wala Sifa. Acha kunywa Pombe. Alcohol is a Social Trap. Pia jiandae na magonjwa ya Ini, figo, kisukari nk.
Unatembea ubalozini ukivuta embassy huku ukisema kataa ndoaNimesema Sigara sio hatari km watu wanavyoisema Ila pombe nimekunywa zaidi ya miaka 15, nimeacha nilikua mkemia mkuu mzee wa mixer na cocktail sasa hivi natembea ubalozini sitaki tena tungi
Wewe umejuaje?Unatembea ubalozini ukivuta embassy huku ukisema kataa ndoa
Ulishapima mapigo yako ya moyo kabla haujatumia kinywaji hiko?Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine [emoji485] kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16° Centigrade.
Endelea, its your body not mine. Sorry.Nani kasema gambe ni ujanja? Je wagonjwa wote wa figo, ini na kisukari ni wanywaji?
Sawa uko sahihiSio kweli pombe haileti hayo magonjwa I was been there, madaktari wenyewe wanatibu huku wana sukumia na kamvinyo pembeni
Who said that?I'm good, sexy, romantic and creative
😅🙌Jaribu na gongo tuone
Kumbe wengine wazee nusu
Wanoumwa hayo magonjwa hata hawanywi, nijuavyo Mimi na ushuhuda ninao kuna mzee alisimulia yeye alikua mtu wa Safari lager (bia ngumu kwa watu wa kazi ngumu), ilikua inamkubari sana akawa anachapa hata kreti Safi bila kulewa, sasa kuna kipindi wenzie wakamshawishi afanye mixing yaan achanganye na pombe zingine, hapo ndipo alipoenda kutibua mishipa ya moyo alimanusula apatwe na stroke, mpaka leo kunywa bia mwisho ni 1 imezidi 2 hazidishi zaidi ya hapo, aliuua mishipa ya moyo kwa kufanya mixing ya bia tofauti tofautiNani kasema gambe ni ujanja? Je wagonjwa wote wa figo, ini na kisukari ni wanywaji?