Napenda sana mademu ila siwapati

Utakuja kusifiwa... ila writing zao zinaonyesha kwa kiasi ni vitu gani una deal navyo.
Una haki ya kuwakokota.
Nilijua tu ungejibu hivo.

Ama useme ,Unatembea na Wanawake wa hovyo ,ona miandiko yao😅😅

Utadhan wee unamwandiko wa kimalaika 😅😅😅

Au useme, Mimi napoteza muda mwingi badala ya kutafuta Hela 😅😅😅.

My Dear, katika hao mademu ,hamna asiyefanya kazi ama wa Serikali au Taasisi Binafsi.

Nadhan katika wanaume selective Mimi ni Mmoja wao !! Nachaguaz na ninachagua Demu ambaye anajua, Hawezi nipiga mizinga ya njaa, yaan Kwa ufupi Natiana na Wanawake wanaojiweza kiuchumi 😅😅😅!!!!!

UKWELI NI KWAMBA, NYIE MADEMU MNASUMBUAGA WANAUME MAFAMBA, WAJINGA ,ZOBAA WAPUUUZI, NYIE MNATOMBEKAA MNOOOOO TENA KIRAHISIIIII !!.
 
Kula watoto wazuri mkuu
 
Na unajua kutetea hoja 🤭
 
We are same same but me i dont give them verses i gave them money and my number
 
Ni kazi sana mkuu hawa viumbe
 
Dah inauma sana nikijiamgalia mm kuna pisi mbili zinataka nikazikaze leo na sijui niende na ipi
 
Hakuna haja ya kukimbizana na kipepeo...we panda maua tu, watakuja wengi sana tena wa aina tofauti×2
 
Hawa mademu zako inaoneka standard zao zipo chini ndiyo maana unacheza na hisia zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…