Napenda sana mademu ila siwapati

Napenda sana mademu ila siwapati

Nikupe mademu,mwenzio nnao mpaka nimewachoka,sema tu uko wap nikupe namba zao
 
jenga nyumba ya wastani
nunua usafiri mdogo
fungua miradi midogomidogo
fanya mazoezi ,kula kwa afya ,vaa vzuri pendeza USISAHAU KUENDA IBADANI.
WATAKUJA WENGI KUKUTONGOZA MPAKA USHANGAE
 
Ukaacha? Nukia ki nivea bwana, unaonekana gentleman. Yaani tumia lotion ya NIVEA ile ya coconut utanishukuru. Kama ukikosa mpenzi niite mbwa nimekaa pale👉. Usivae kisharobaro maana NIVEA haiendani na masharobaro
hivi hyo nivea coconut ndio ile unapishana na mtu anannukia vzuri kama chocolate hv?
 
Duuh noma..

Wakati mwenzio Kuna Pisi Ijumaa imekuja Hosp kusalimia Mgonjwa wake

Pis Pisi kweliii , toto ya kinyaturu na Kihaya, nyeupee, sura nzurii takoo na guula Kihaya.

Nikaisemesha tu.

Muda Huu naandika hapa, Nmeishapiga bao moja, sahizi inajipikilisha geto!!.


Yaan Kuna kazi zina malupulupu mengi😅😅😅
chief lesson ya wiki hii uliisoma?
 
Location
Jogging...........tumia ndom mashangazi, wake za watu, walioachika, mabinti wadogo,singo mazaz wa kutosha

Gym........uamue ww upigie kwenye gari au lodge

Matamasha mbali mbali......ww tu ukiskia

Beach........ushindwe ww tu, utaamua upigie humo huo kwenye maji au lodge

Kanisani, msikitini.......tafuta idara boss kwaya, vyombo nyoko etc

Mazingira ya utafutaji 🤔🤔kua mjanja hapa kula kimkakati

Condition
Hakikisha hukosi hela za kutatua changamoto zako za kawaida na hata ukipata zali la demu gafla usikose hela ya lodge, ndomu, msos na usafir

Kula code boss vaa vzr at least nukia kidogo japo sio lazima kunikia ila code muhimu

Changamka kidogo jichanganye na wahuni sio kujifungia sana uchachi boy mwingi, elewa tofaut ya shobo na kuchangamkia manzi
nimeipenda hyo kuna utofauti wa shobo na kuchangamkia fursa lkwa watu potential sio mamanzi tu
 
Back
Top Bottom