Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Ndio urembo wenyewelotion 160k, hali dagaa, hakanyagi vumbi.... utaumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio urembo wenyewelotion 160k, hali dagaa, hakanyagi vumbi.... utaumia
Sawa bhnakikubwa lotion
asitutesee bhana 😂😂Eti jamani!😂. Acha ngozi imeremete.
Yaani lazima ngozi iwake. Hapa najiangalia mpaka natamani kujikula🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣asitutesee bhana 😂😂
nipo kwa ajili ya kukusaidia hilo ambalo unatamani ulifanye 😂😂Yaani lazima ngozi iwake. Hapa najiangalia mpaka natamani kujikula🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️nipo kwa ajili ya kukusaidia hilo ambalo unatamani ulifanye 😂😂
kama utaki sema 😂😂🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Wee, watu wananiangalia hivi🤣kama utaki sema 😂😂
kanaitwaje?
achana nao usiwaogope 😂😂Wee, watu wananiangalia hivi🤣
Aiseeewachoyo hawa wanaoga maji baridi zinaishia huko bafuni😅
maji baridi wapi huko? mbeya, njombe, arusha au dar?wachoyo hawa wanaoga maji baridi zinaishia huko bafuni😅
Ni usoni tu?
mtakufa na upwiruuuuAiseee
Green teaDuuh noma..
Wakati mwenzio Kuna Pisi Ijumaa imekuja Hosp kusalimia Mgonjwa wake
Pis Pisi kweliii , toto ya kinyaturu na Kihaya, nyeupee, sura nzurii takoo na guula Kihaya.
Nikaisemesha tu.
Muda Huu naandika hapa, Nmeishapiga bao moja, sahizi inajipikilisha geto!!.
Yaan Kuna kazi zina malupulupu mengi😅😅😅
YahNi usoni tu?
Nani ana ukame sasamtakufa na upwiruuuu