Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasubiri sanaHapana mkuu situmii deodorant
ila we dada mzinifu jaman khaa 😂😂 unaweza pitisha wiki kweliNani ana ukame sasa
atafute pesa ya kununulia hiyo deodorant kwanzaUtasubiri sana
Tafuta hata Nivea for men
Uwashawishi kidogo
sio darkote😂
Asubutuuunimepiga panapouma😅
Kabisa wadada hatupendi wakaka wanaonukia changamotoatafute pesa ya kununulia hiyo deodorant kwanza
kumbe kuna harufu ya changamoto 😂😂Kabisa wadada hatupendi wakaka wanaonukia changamoto
Ukiona hivyo unaepushwa na majanga.mungu anakupenda acha ujingaKwema ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa napiga sana mademu verse lakini naambulia vibuti, sijui tatizo Nini wakuu hebu nipeni mbinu mbadala
Mbinu mbadala ni nguvu ya pesaKwema ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa napiga sana mademu verse lakini naambulia vibuti, sijui tatizo Nini wakuu hebu nipeni mbinu mbadala
Jinuse usikie 😆kumbe kuna harufu ya changamoto 😂😂
hii sikuwahi kujua 😂😂
😂😂 nna changamoto lakini sio hadi ninukie, nanukia vizuri kama duka la pafyumuJinuse usikie 😆
😅😅😅😅😅hapo nyuki lazima utawapata😂😂 nna changamoto lakini sio hadi ninukie, nanukia vizuri kama duka la pafyumu
kumbe nyie ni nyuki 😂😂😅😅😅😅😅hapo nyuki lazima utawapata
Nmetumia tafsida😅kumbe nyie ni nyuki 😂😂
sawa nyuki 😉Nmetumia tafsida😅
Hata mimi aisee🤣🤣🤣kumbe kuna harufu ya changamoto 😂😂
hii sikuwahi kujua 😂😂