DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,346
- Thread starter
-
- #141
Hahaha... Hii ndio JF.
😂😂😂😂😂😂😂😂 loh!!Vipi mazishi ya Kobe hapo USA
Hii ndio JF Mkuu, watu wengi wapo Marekani na Ulaya.
Naona majibu yote unayo,sasa unahangaikia nini?Tulipima mkojo mara ya kwanza akakutwa hana mimba. Akalalamika kwamba jamani mbona juzi tu nilikuwa na mimba nimepimwa, Basi wakarudia. Ndio ikaonekana ana mimba. Basi nikaenda laboratory ya uhakika kabisa arusha. Wakasema kabla ya damu, tufanye mkojo, ndio akawa anazingua hataki kutoa sample. Baada ya kuzingua sana nikamsachi nikakuta ameficha hicho kichupa. Na yeye kipindi hicho alikubali kwamba amedanganya na kuomba msamaha. Baada ya muda ndio akaja na hio gear nyingine. Damu ilikuwa tupime lakini baada ya kumwona ana kichupa nikaona hakuna sababu.
Ndio hivyo mkuu. Niliingizwa mkenge. Lakini NEVER AGAIN. Ushauri kwako mkuu... sio lazima kutumia maneno ya kipuuzi kwenye uzi kama ulivyofanya hapa.
Ila we jamaa muungwana sana. Kwa hilo nakusifu na unaonekana ni mkweliWadau: Asanteni wote kwa Ushauri Wenu. Nimejifunza mengi sana leo. Na nitafanyia kazi ushauri wa kila mtu. Naomba mniruhusu nifunge mada hii sasa. Siku njema kwenu waTz wenzangu.
Duh...njaa mbaya sana. Mtu yuko anatoka nje ya nchi (USA) na njaa zako unakuja unapumulia kwa changudoa grade mbaya wa namna hii??
Mkuu ukichunguza picha za huyo mchumba wako, nadhani jamaa hakutumia maneno ya kipuuzi ila alikuwa muwazi sana. Huyo mama mh!!!!! Anaonesha amechoka sanaNdio hivyo mkuu. Niliingizwa mkenge. Lakini NEVER AGAIN. Ushauri kwako mkuu... sio lazima kutumia maneno ya kipuuzi kwenye uzi kama ulivyofanya hapa.
kwahiyo ushajiona star sio kisa unakaa marekani...dah dunia hiiKiukweli nimejifunza mengi sana leo hapa. Halafu siku hizi kuna jambo la siri sasa? Fb, insta, nk? Mbona mnadiscuss mahusiano ya mastar wa bongo kila siku hapa?
Kwani vipi? Kwako wewe kuwa USA au Europe ni sifa? Mimi nilisema tu location yangu ili wachangiaji wajue niko mbali sana na huyo mtu kwa hio wakichangia wazingatie hilo. Kama kwako unaone eti mtu kuwa abroad ni sifa basi pole sana. Watu tuko nchi za watu tunapambana mchana na usiku kama watumwa. Trump na wazungu kama yeye mara nyingine wanatunyanyapaa sababu sisi ni wahamiaji na sio wazawa. Japo mimi binafsi namshukuru Mungu sija-experience hilo sana lakini immigrants wengi wana-experience hilo na hata mimi anytime linaweza tokea kwangu. Ndio maana watu tunajitahidi kuwekeza Tz ili hatimaye tusitegemee nchi za watu. Ila kiukweli USA imenisaidia sana kwa capital ya kuwekeza Tz jambo ambalo najua kabisa nisingeweza kama ningekuwa Tz. USD ina nguvu kubwa ukiibadilisha to Tshs na inafanya mambo makubwa.Hii ndio JF Mkuu, watu wengi wapo Marekani na Ulaya.
Hivyo hivyo unavyofikiria ni sawa tu. Ila asante sana kwa kutumia muda wako kusoma uzi huu na kuchangia mada.kwahiyo ushajiona star sio kisa unakaa marekani...dah dunia hii
mkuu Yaani huyo ndiye mrembo ..acha masihara basiii....Hapo alipo lala na mtoto uso wake mbona umejikunja like anakamuliwa Kijipu uchungu ?.....Though anaonekana ni mjanja mjanja hapaswi kuwa na mwanaume ambaye ni mstaarabu....
halafu hivi huwa mnaupendo wa namna gani !! yaani mpaka umebaini kuwa binti kaficha chupa ya mkojo but still una wasiliana nae duh!
Nipo South Carolina mkuuWewe DiasporaUSA nicheke tu. It can happen to anyone. Which state in the US are you?
Utamtetea sana mdada mwenzako, lakini watu waliona picha zake na kumbuka "pictures tell a thousand words" kwa hio wameweza mtambua sana kwa picha zake kuwa yeye ni malaya, tapeli na hana urembo wowote.Usiwe unaamini kila unachosoma.
Hatujasikia upande wa pili wa huyo dada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo san diego, CA ndugu yangu. Tunapambana tu.Nipo South Carolina mkuu
Lesson: Ni mdada mrembo, lakini urembo bila roho ni kazi bure,most of them are heart attack...Wadau Yamenikuta. Sitaki kuandika story ndefu sana. Lakini huyu mdada nilikutana naye nilivyokuja Tanzania na alinifanyia vituko ambavyo kwa kweli siwezi kuviandika hapa. Tokea nimwache amekuwa ni ghasia kweli. Nilishapima mimba naye na nikamkuta ameficha mkojo kwenye nguo ya ndani sababu matokeo yalikuwa negative kwa mimba mara positive ndio mtu akasema nimsachi. Sasa anatuma picha kwa ndugu zangu anasema nimemtekeza mtoto. Mimi kwa sasa sipo Tanzania niko abroad kwa hio hata DNA siwezi fanya.
Ila amekuwa ghasia sana. Kuna picha amenitumia NAOMBA KAMA KUNA ANYEJUA HUYO NI MTOTO WA NANI ANIAMBIE SABABU MIMI NAJUA HUYO mdada amechukua tu mtoto wa mtu anapiga picha naye. Muda aliosema amezaa mahesabu yanakataa. Na kama nilivyosema, nilipima mwezi mmoja baada ya kuwa naye mara ya mwisho akakutwa hana, akalalamika akaomba warudie vipimo, akakutwa ana mimba. Basi ndio nilivyomsachi, nikakuta ana hicho kichupa amekificha kilichokua na mkojo. Ni mdada mrembo, lakini urembo bila roho ni kazi bure.
Picha zake na ya mtoto hizi hapa. Najua huyu ni mtoto wa mtu Fulani. Naomba mnisaidie sababu ghasia zake zimezidi kwa kweli na mimi mwaka jana niliacha kazi zangu USA nikanunua tiketi ya mamilioni nikaacha shughuli zangu nikarudi Tz kushughulikia ghasia zake za mimba za uongo, na sasa sitaki KUFANYA HIVYO tena. Naomba msaada wenu wadau.
PS: Napenda sana mtoto. Ila sijajaliwa bado sababu sijapata mke bado. Ndio wadada nakutana nao kama huyu ni utapeli mtupu. Ila hata sasa hivi nasomesha Watoto watatu wa marafiki tu, kwa hio sio kwamba sina uwezo wa kumsaidia. Lakini sitaki kumsaidia mtu tapeli. Na kama nilivyosema najua hata huyo mtoto sio wake. Namba hazikubali kabisa.
NOTE: PICHA NA VIDEO ZIMEFUTWA BAADA YA KUSHAURIWA NA MDAU
Wadau: Asanteni wote kwa Ushauri Wenu. Nimejifunza mengi sana leo. Na nitafanyia kazi ushauri wa kila mtu. Naomba mniruhusu nifunge mada hii sasa. Siku njema kwenu waTz wenzangu.
Kila kheri mkuu. Tuendelee kutafuta pesa ya madafuNipo san diego, CA ndugu yangu. Tunapambana tu.
Kama mtoto si wa mkaka huyo mwanamke hawezi kwenda ustawi anajua ataenda kuumbuka tuHilo suala la kisheria nadhani unatakiwa mfungue shauri mahakamani au ustawi wa jamii wanaweza kutoa msaada.
Kwa wenzetu watakuwa wanapima popote bila ya kibali cha mahakama mradi ulipie pesa tu.
Kama vipi tafuta mwanasheria wa huku Bongo afungue kesi kwa niaba yako ashirikiane na nduguyo kufuatilia hili suala. Sio pesa nyingi.
Hapo alikuwa anakutaka kwa kila njia, hapo ungethubu kulala naye tena ingekula kwako angeenda hata kwa mwanaume mwingine kutafuta mimba, na nyie muwe mnachagua vizuri mkiona tu tayari ona mnavyopata stress zisizo kuwa na sababu, pole sana mikahaba ya hivyo ipo mingi sanaNapenda watoto, na angekuwa mkweli na kama asingekuwa tapeli, ningemsaidia. Mbona ninasaidia wa wengine? Huyo mdada ni kwamba sitaki kabisa mazoea naye na sababu hatuna hata mtoto, sikutaka anizoee ni kamanibilisi kabisa. Ila yeye anatafuta tu njia za kuwa karibu na mimi. Na sasa hivi ndio hii ameamua.