warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Yani nikisikia kitu au habari yeyote huwa nakuwa roho juu.
Mtu akiniambia kitu siwezi kabisa kukaa nacho moyoni lazima niseme tu,yaan na enjoy sana umbea,mbaya zaid nyumban ndo dah hat nikiwa wapi lazima nipigiwe simu nipewe taarifa.
Ikitokea siku nimesafiri basi nyumba inapoa sana, nikirud umbea kwenda mbele,yaani kwa kweli nimezidi umbea kwa kweli.
Nikiona mtu kasimama na mtu kosa, mtaa mzima lazima wajue kupitia mimi.
Kuna duka moja ivi uwa tunakaa vijana tunapiga umbea yaani hadi watu wanatuogopa ukipita tu,basi taarifa zako zinamwagwa hatari.
Kijiwe chetu kinaogopwa sana. Yaani kila nikijitahidi niache niishi maisha yangu nashindwa.
Yaani napenda sana umbea,nikipata taarifa yako tu bas lazima mtaa mzima wajue,na enjoy sana umbea jamani,hadi nimenenepa napenda sana umbea.
Mtu akiniambia kitu siwezi kabisa kukaa nacho moyoni lazima niseme tu,yaan na enjoy sana umbea,mbaya zaid nyumban ndo dah hat nikiwa wapi lazima nipigiwe simu nipewe taarifa.
Ikitokea siku nimesafiri basi nyumba inapoa sana, nikirud umbea kwenda mbele,yaani kwa kweli nimezidi umbea kwa kweli.
Nikiona mtu kasimama na mtu kosa, mtaa mzima lazima wajue kupitia mimi.
Kuna duka moja ivi uwa tunakaa vijana tunapiga umbea yaani hadi watu wanatuogopa ukipita tu,basi taarifa zako zinamwagwa hatari.
Kijiwe chetu kinaogopwa sana. Yaani kila nikijitahidi niache niishi maisha yangu nashindwa.
Yaani napenda sana umbea,nikipata taarifa yako tu bas lazima mtaa mzima wajue,na enjoy sana umbea jamani,hadi nimenenepa napenda sana umbea.